Tanga miaka ya themanini lazima ulowee

Tanga miaka ya themanini lazima ulowee

Kawaida tu tulishawahi kuishi na mdada wa kitanga alikuwa mstaarabu
Wanajali sana.wanajua kumuhudumia mwanamme kama wake.n.k
Wasafi na mapenzi wanayajua.na kubembeleza pia.
Wana mengi ila haya machache.pia wanajua kupika.
 
Chezea tanga weyee
06d6fc996c5ee0d7d77de5bb820af8bc.jpg
ukhuty mambo haya unanikumbusha Pangani
 
Mmhhh ni shemeji zetu hao
Wanawake wa kisambaa kiboko.
Na wana msimamo kiongozi.akisema nimekupenda wewe amekupenda wewe kweli.sijui kwa wanawake wengine.ila kwa huyu alikuwa hivyo.tatizo WIVU.ukirudi kutoka kazini kama una safari zako umalize kabisa.sio urudi nyumbani ndo utoke,una tafuta ugomvi.
 
Wanawake wa kisambaa kiboko.
Na wana msimamo kiongozi.akisema nimekupenda wewe amekupenda wewe kweli.sijui kwa wanawake wengine.ila kwa huyu alikuwa hivyo.tatizo WIVU.ukirudi kutoka kazini kama una safari zako umalize kabisa.sio urudi nyumbani ndo utoke,una tafuta ugomvi.
Nalitambua hilo mkuu halafu ni wazuri akiwa mweupe ni zaidi ya mwarabu
 
Tanga noma
Madem wa kitanga watamu balaa halafu wana viuno hivyo 6 kwa 6 raha sana
Sasa cha ajabu wadigo walikuwa wakiletwa Uhamisho Tabora .akifika na kurudisha family yake Tanga likizo ndoo jumla hairudi tena huku mdigo anafunga ndoa na mtoto wa kinyamwezi na harudi tena Tanga. Tabora ni balaa.
 
Sasa cha ajabu wadigo walikuwa wakiletwa Uhamisho Tabora .akifika na kurudisha family yake Tanga likizo ndoo jumla hairudi tena huku mdigo anafunga ndoa na mtoto wa kinyamwezi na harudi tena Tanga. Tabora ni balaa.
Mhh huku tanga wapo wakina masanja,magongo....., ndani ya koo za kidigo vipi hukooo
 
Back
Top Bottom