Tanga miaka ya themanini lazima ulowee

Kuna jamaa aliwekewa wali kwenye kisahani kidogo na samaki wa kupaka ..msosi umepambwa na asumini jamaa akala mpaka asumini..kwenye kuoga kashangaa hashua zinawekwa kwenye kisosi zinasuguliwa..hatari sana...
Mgosi
 
Kuna jamaa aliwekewa wali kwenye kisahani kidogo na samaki wa kupaka ..msosi umepambwa na asumini jamaa akala mpaka asumini..kwenye kuoga kashangaa hashua zinawekwa kwenye kisosi zinasuguliwa..hatari sana...
Mshuza 1,mshuza 2.......10+1=barabara?-studio
 
Tanga is where my heart belong.

Nimepata msambaa mmoja Wa Bumbuli kanshiiiiiika nimekatika .

Raha napewa jamani mie.

Oo Tate nane wambwanga tushikamane

Wavyee watamu sana

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom