Tanga miaka ya themanini lazima ulowee

Tanga miaka ya themanini lazima ulowee

Kuna jamaa aliwekewa wali kwenye kisahani kidogo na samaki wa kupaka ..msosi umepambwa na asumini jamaa akala mpaka asumini..kwenye kuoga kashangaa hashua zinawekwa kwenye kisosi zinasuguliwa..hatari sana...
Mgosi
 
Kuna jamaa aliwekewa wali kwenye kisahani kidogo na samaki wa kupaka ..msosi umepambwa na asumini jamaa akala mpaka asumini..kwenye kuoga kashangaa hashua zinawekwa kwenye kisosi zinasuguliwa..hatari sana...
Mshuza 1,mshuza 2.......10+1=barabara?-studio
 
Tanga is where my heart belong.

Nimepata msambaa mmoja Wa Bumbuli kanshiiiiiika nimekatika .

Raha napewa jamani mie.

Oo Tate nane wambwanga tushikamane

Wavyee watamu sana

 
Whats so special huko tanga kiasi cha kufanya mkawaacha wake zenu
Tanga kutamu wewe Mimi asili yangu ni huko njombe nimeishi mikoa mingi sana but Tanga is where my heart belong .

Tafuta mwanaume Wa kisambaa akupe mambo .uje utoe ushuhuda.
 
Niliingia tanga mwaka 1987 nikiwa bado mdogo nikasoma hko,hakika tanga raha mpaka leo kila nikipata likizo lazma niende tanga
 
Back
Top Bottom