Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Utakuwa ni saa nane kila siku zinatazogawanywa katika vipindi viwili vya saa nne nne kila kimoja. Yaani, kama ni zamu yenu ya kukosa umeme, mtakosa asubuhi kwa saa nne, na jioni kwa saa nne.
Mgawo unaanza mara moja.
tanesco wanasema mgawo unatokana na kuharibika ghafla kwa mitambo miwili ya Songas.
I hope it is not part of concerted efforts to 'force' the buying of Dowans turbines
Mgawo unaanza mara moja.
tanesco wanasema mgawo unatokana na kuharibika ghafla kwa mitambo miwili ya Songas.
I hope it is not part of concerted efforts to 'force' the buying of Dowans turbines
Last edited by a moderator: