Mkuu heshima mbele,
Umeme kwa taarifa yako ni driving engine of the economy. Moja umeme ukiwa ghali production costs inakuwa juu hivyo bei ya bidhaa kwa mlaji nayo inakuwa juu. Pili ukikosekana umeme production inasimama so unaemployment,
kodi itokanayo na hizo biashara zinakosekana, mkiimport kama substittion mnadrain Forex thamani ya Sh inapotea, ...... the list of problem is endless na ni vicious. So angalia nchi nyingi Duniani Umeme unazalishwa na mashirika ya serikali ama serikali ina share kubwa why???? usiniulize kwa sasa
So serikali inalojukumu la kufanya umeme ndio priority, na ni aibu kubwa kwa shirika kubwa lenye monopoly power linakosa short, medium and long term plans. shake up kidogo 53MW (less than 10%) of its total production imeshake imediately unaanza mgao KWANINI TUSIFIKIRIE HUU NI UFISADI AMA NI HUJUMA?????
WAZEE WA KUCHOMA NDIZI
Sikuwa na maana ya kusema tusiangaike na tatizo la umeme .....nilikuwa nataka kusema kuwa kuna mambo ni muhimu mfano umeme, barabara etc ...sasa ni jukumu la serikali kujua kuwa kuna mambo ni muhimu na lazima waanze kuyashughulikia kwa umakini na yafike mwisho. Si jambo zuri kila miaka inakwenda tatizo ni hilo hilo tangu enzi za Ali Hassan Mwinyi umeme umekuwa ukitusumbua.
Na huwa nawashangaa viongozi wetu wanapopita nchi za nje kwenda kuita wawekezaji wakati umeme wetu ni wa kubahatisha hata hapa Dar es Salaam tunapopaita Capital City. Nadhani wanaonekana ni wababaishaji tu ...ndio maana hakuna response ya investors wa maana.