mtebetini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2015
- 1,924
- 2,035
Kuna jamaa yangu anaishi Mbagala Mgeni Nani, Day in Day out analia umeme unakatwa, kinachomkera kuna eneo jirani yao haukatiki!Mbagala mnakata sana umeme
Mbali na maelezo kuwa kuna matengenezo yanafanyika kwa eneo hili sidhani kama sababu ni hiyo.