Mnawaingiza gharama watu za kutuma maombi,kumbe tayari mna majina ya watu wenu,haiwezekani mtu anavigezo vyote na ufaulu mzuri,hata kwenye usaili msimuite!!
 
Mnawaingiza gharama watu za kutuma maombi,kumbe tayari mna majina ya watu wenu,haiwezekani mtu anavigezo vyote na ufaulu mzuri,hata kwenye usaili msimuite!!
MPENDWA MTEJA TUHUMA ZAKO HAZIJAKAMILIKA.TUNAOMBA WEKA TAARIFA ZOTE STAHIKI ZA JINA NAFASI ULIYOOMBA VIGEZO VYAKO KISHA IDARA YETU YA RASILIMALI WATU ITAKUPATIA MAELEZO STAHIKI.

SHIRIKA LETU LINATOA FURSA SAWA KWA WANANCHI WOTE , KWA KAWAIDA WALIOMBA WOTE HAWAWEZI KUPATA KWA KUWA KUNA VIGEZO NA IDADI INAYOHITAJIKA.
 
Habari Zenu, Kuna uzi unaendelea humu JF malalamiko kuhusu utaratibu wenu wa kuajiri, Tunazidi poteza imani nanyi au hadi tusogeze malalamiko mbele??
Tunaomba maelezo zaidi kwa kuwa taarifa za kusikia haziwezi kutolewa ufafanuzi bila kwenda moja kwa moja kwa hicho unachokituhumu
 
1.MKOA: Dar es Salaam

2.MTAA: Kinyerezi Kanga

3.NAMBA YA MITA: 24 21 85 04 934

4.TATIZO: Umeme hauwaki baada ya kuunganishwa kwa mara ya kwanza. Mita imeandika Relay Open.
Error check baada ya kuandika 098 imenipa error 012.

NAOMBENI MSAADA TAFADHALI MNIWASHIE MITA YANGU

N.B: Mita inasoma units zilizopo kuwa ni 49.98 ila ndo umeme hamna.
Namba ya simu tafadhali
 
MPENDWA MTEJA TUHUMA ZAKO HAZIJAKAMILIKA.TUNAOMBA WEKA TAARIFA ZOTE STAHIKI ZA JINA NAFASI ULIYOOMBA VIGEZO VYAKO KISHA IDARA YETU YA RASILIMALI WATU ITAKUPATIA MAELEZO STAHIKI.

SHIRIKA LETU LINATOA FURSA SAWA KWA WANANCHI WOTE , KWA KAWAIDA WALIOMBA WOTE HAWAWEZI KUPATA KWA KUWA KUNA VIGEZO NA IDADI INAYOHITAJIKA.
Nafasi za udereva shinyanga ni vigezo vipi vimetumika kuita watu kwenye usaili?!!mbona kuna watu wanavigezo vyote mlivyovihitaji hamjawaita kwenye usaili?

uhamiaji mbona waliita watu elfu kumi walokidhi vigezo,nyinyi tatizo nini mmeacha kuita watu wenye vigezo?!hatujaridhika tunafuatiria mbele kupata haki yetu,siwezi kuweka jina hapa,ushahidi wa vyeti vizuri vyenye sifa hupo.
 
TANESCO
Katika pitapita zangu za kutafuta maoneo ya viwanja nimepita eneo moja la njia ya Kigamboni inayoelekea Kongowe.

Nikasimama eneo linaloitwa Mwembemtengu ili niongeze mafuta kwenye usafiri.

Halafu nikaanza safari kuingia ndani kama naelekea Dar Zoo.

Cha ajabu nikaona umeme umeishia hapo Mwembemtengu.

Lakini vijiji kama MKOKOZI na LUGWADU ambako mji ndio unajengwa na maeneo ya viwanja yanapatikana, hakuna umeme kabisa.

Umeme umeishia hapo Mwembemtengu, ambapo ni njia kuu kuelekea Kongowe.

Ivi tatizo ninini ? Tanesco mmeshindwa hata kupeleka umeme wa REA maeneo hayo ambayo yapo karibu kabisa na Daresalaam kuliko hata Chanika na Pugu.

Wakazi wa Mkokozi na Lugwadu, wanauona umeme karibu kabisa na hawana umeme.

TANESCO hebu pelekeni umeme hata wa REA katika kijiji cha MKOKOZI na LIGWADU ambavyo vipo karibu sana na MWEMBEMTENGU njiani tu kuelekea Kongowe ukitokea Kigamboni.

Nawasilisha.
 
MOTO WAATHIRI MIUNDOMBINU YA UMEME MKOANI RUKWA

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeshuhudia uharibifu mkubwa wa miundombinu ya umeme uliotokana na uchomaji moto katika msitu wa Kirando ulioko katika Wilaya ya Nkasi hivyo kupelekea miundombinu kuungua na kusababisha hasara kubwa.Tukio hili limeathiri Wateja wa maeneo ya Kirando na Kipili wanaopata huduma ya umeme kupitia njia hii ya msongo mkubwa wa umeme.

TAHADHARI
Shirika linawaomba wananchi wote kutoa ushirikiano kwa kutoa taarifa kwenye ofisi zetu, vituo vya Polisi na Ofisi zote za Serikali Nchini ili kuokoa miundombinu hii muhimu kwa umma wa Watanzania

HATUA ZILIZOCHUKULIWA
Shirika linaendelea kutumia vyombo vya Ulinzi na Usalama ili sheria ifuate mkondo wake kwa wahusika wote

TULINDE MIUNDOMBINU YETU KWA MANUFAA YA TAIFA.

Kwa Mawasiliano
Kituo cha Miito ya Simu Makao Makuu 0768985100/0222194400

www.tanesco.co.tz

www.facebook/twitter.com/tanescoyetu

customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Leila Muhaji
Kaimu Meneja Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
c0a33df48b117cc86d733d09c3a6c2bc.jpg
59b7f82cf14949aa2af87789b4a74152.jpg
e620e6edcb73d0cb95778e7040d4b341.jpg
b5b15a3cb95c033f2cc04f8ea43fc68b.jpg
bad63d9467477dc29a4d19dfb9d22a31.jpg
9a8eaae3a066097fd1cb899430ece722.jpg
 
MOTO WAATHIRI MIUNDOMBINU YA UMEME MKOANI RUKWA

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeshuhudia uharibifu mkubwa wa miundombinu ya umeme uliotokana na uchomaji moto katika msitu wa Kirando ulioko katika Wilaya ya Nkasi hivyo kupelekea miundombinu kuungua na kusababisha hasara kubwa.Tukio hili limeathiri Wateja wa maeneo ya Kirando na Kipili wanaopata huduma ya umeme kupitia njia hii ya msongo mkubwa wa umeme.

TAHADHARI
Shirika linawaomba wananchi wote kutoa ushirikiano kwa kutoa taarifa kwenye ofisi zetu, vituo vya Polisi na Ofisi zote za Serikali Nchini ili kuokoa miundombinu hii muhimu kwa umma wa Watanzania

HATUA ZILIZOCHUKULIWA
Shirika linaendelea kutumia vyombo vya Ulinzi na Usalama ili sheria ifuate mkondo wake kwa wahusika wote

TULINDE MIUNDOMBINU YETU KWA MANUFAA YA TAIFA.

Kwa Mawasiliano
Kituo cha Miito ya Simu Makao Makuu 0768985100/0222194400

www.tanesco.co.tz

www.facebook/twitter.com/tanescoyetu

customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Leila Muhaji
Kaimu Meneja Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
c0a33df48b117cc86d733d09c3a6c2bc.jpg
59b7f82cf14949aa2af87789b4a74152.jpg
e620e6edcb73d0cb95778e7040d4b341.jpg
b5b15a3cb95c033f2cc04f8ea43fc68b.jpg
bad63d9467477dc29a4d19dfb9d22a31.jpg
9a8eaae3a066097fd1cb899430ece722.jpg
Hebu toa tathmini ya uharibifu. Hapo naona nguzo mbili zilizokuwa eneo moja ndizo zimeanguka baada ya kuungua.

Pia niwashauri mpalilie eneo la njia zenu za umeme au eneo linalozunguka nguzo ili pasoote nyasi. La sivyo tumieni nguzo zisizoungua.

Mwisho zidisheni ushirikiano na jamii kwa kuwapa huduma stahiki pasipo usumbufu. Ondoeni malalamiko yanayoongelewa humu na mnayopewa kwa njia mbadala. Hapo jamii itakuwa na moyo wa kuwasaidia maana kwa sasa shirika la umma limekuwa ni adui wa umma kwa kuunyanyasa umma.
 
Tunashukuru ndugu TANESCO..
Mimi ni mkazi wa Morogoro, kata ya Kilimanjaro. Huku ni makazi mapya na watu siyo wengi sana. Ni eneo ambako majenzi yanaendelea kwa kasi. Shida yetu ni umeme. Tulijaribu kufuatilia ofisi ya TANESCO Morogoro na tulipewa ahadi tam sana kwamba eneo letu lilikuwa kwenye mradi wa REA na tuliahidiwa umeme ingefika mnamo mwezi April, 2016. Mwezi huo ulipita na mwaka ukapita hakuna dalili wala nini. Tuliendelea kufuatilia lakni yakaibuka maelezo mengine kibao.. kama transfoma, nk..

Nadhani tufike mahali tuseme kwamba mambo ya kuzungushana yalishapitwa na wakati. TANESCO inafanya biashara na kuunganisha wateja wapya maana yake ni kuongeza biashara. Basi tunaomba swala la umeme kwa sie wakazi wa Kihonda Kilimanjaro mtaa wa YESPA tupate umeme.

Natanguliza shukrani kama nitajibiwa
 
Tunashukuru ndugu TANESCO..
Mimi ni mkazi wa Morogoro, kata ya Kilimanjaro. Huku ni makazi mapya na watu siyo wengi sana. Ni eneo ambako majenzi yanaendelea kwa kasi. Shida yetu ni umeme. Tulijaribu kufuatilia ofisi ya TANESCO Morogoro na tulipewa ahadi tam sana kwamba eneo letu lilikuwa kwenye mradi wa REA na tuliahidiwa umeme ingefika mnamo mwezi April, 2016. Mwezi huo ulipita na mwaka ukapita hakuna dalili wala nini. Tuliendelea kufuatilia lakni yakaibuka maelezo mengine kibao.. kama transfoma, nk..

Nadhani tufike mahali tuseme kwamba mambo ya kuzungushana yalishapitwa na wakati. TANESCO inafanya biashara na kuunganisha wateja wapya maana yake ni kuongeza biashara. Basi tunaomba swala la umeme kwa sie wakazi wa Kihonda Kilimanjaro mtaa wa YESPA tupate umeme.

Natanguliza shukrani kama nitajibiwa
Mpendwa mteja

Tutakupatia ufafanuzi
 
maana si rahisi sisi kujua hapo ni wapi haswa kwa kutumia picha tu.

MKOA MOROGORO
WILAYA KILOMBERO
KATA. NAMWAWALA
KIJIJI NAMWAWALA . Kijiji kipo umbali wa Kilometa 30 kutoka IFAKARA Kuelekea MLIMBA. JIMBO la Uchaguzi ni MLIMBA.

TANESCO Wilaya Kilombero , Mkoa Morogoro , Makao Makuu fuatilieni huo mradi REA hapo kijijini kwanini wamekwepesha kipande cha hiyo laini kupitisha kandokando ya barabara kuu?
Kuna nini nyums ya Pazia ?
 
MKOA MOROGORO
WILAYA KILOMBERO
KATA. NAMWAWALA
KIJIJI NAMWAWALA . Kijiji kipo umbali wa Kilometa 30 kutoka IFAKARA Kuelekea MLIMBA. JIMBO la Uchaguzi ni MLIMBA.

TANESCO Wilaya Kilombero , Mkoa Morogoro , Makao Makuu fuatilieni huo mradi REA hapo kijijini kwanini wamekwepesha kipande cha hiyo laini kupitisha kandokando ya barabara kuu?
Kuna nini nyums ya Pazia ?
Tunaomba namba yako ya simu
 
nauliza ikiwa nimenunua luku kwa mitandao ya simu na bahati mbaya nikawa nimekosea namba za miya na kumnunulia mtu mwingine! vp utaratibu ea kubadirisjiwa token... asante na tafadhali
 
nauliza ikiwa nimenunua luku kwa mitandao ya simu na bahati mbaya nikawa nimekosea namba za miya na kumnunulia mtu mwingine! vp utaratibu ea kubadirisjiwa token... asante na tafadhali
Unafuka office ya eneo lako utajaza fomu kisha uchunguzi utafanyika kama umeme huo huajaingia ikidhibita utapewa umeme wako
 
Transforma iliyopo BUZA kanisani Kata ya Buza Wilaya ya Temeke inakuwaga na tatizo la kupiga shoti na kutoa cheche kali Mara kwa Mara, hilo tatizo lina zaidi ya mwaka sasa halijafanyiwa kazi.

Ni vyema mkaishughulikia kabla haijaleta maafa one day, maana inatia hofu sana kwa wakazi wa maeneo hayo.
 
Transforma iliyopo BUZA kanisani Kata ya Buza Wilaya ya Temeke inakuwaga na tatizo la kupiga shoti na kutoa cheche kali Mara kwa Mara, hilo tatizo lina zaidi ya mwaka sasa halijafanyiwa kazi. Ni vyema mkaishughulikia kabla haijaleta maafa one day, maana inatia hofu sana kwa wakazi wa maeneo hayo.
Tunaomba namba yako ya simu na namba ya taarifa ambayo umewahi kupewa
 
Nimelipia umeme hii sasa inaenda mwezi wapili na nguzo ipo ndani ya mita 30 ila sijafungiwa mpaka leo na kuna mfanyakazi wenu anaomba rushwa ya ngono ili aweze kufunga umeme kwangu tena anamuomba mke wangu na ashajulishwa na haogopi na kasema kama anataka umeme amkubalie kwanza ndio umeme uingie yupo tanesco charambe na namba yake ya simu ni hii 0712949598 na nilimrekodi maongezi yake hivi ndio utaratibu mliojiwekea hamuweki umeme bila rushwa ya ngono sasa me jumatano au alhamisi naamkia ofisini kwenu ila mjue hilo
 
Nimelipia umeme hii sasa inaenda mwezi wapili na nguzo ipo ndani ya mita 30 ila sijafungiwa mpaka leo na kuna mfanyakazi wenu anaomba rushwa ya ngono ili aweze kufunga umeme kwangu tena anamuomba mke wangu na ashajulishwa na haogopi na kasema kama anataka umeme amkubalie kwanza ndio umeme uingie yupo tanesco charambe na namba yake ya simu ni hii 0712949598 na nilimrekodi maongezi yake hivi ndio utaratibu mliojiwekea hamuweki umeme bila rushwa ya ngono sasa me jumatano au alhamisi naamkia ofisini kwenu ila mjue hilo
Tumeipokea mkuu uchunguzi utafanyika kuthibitisha kama aloyetuhumiwa ni mfanyakazi wetu au laa ikiwemo kupitia ushahidi wako.tumeipokea kwa ufatiliaji
 
Back
Top Bottom