The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,158
- 51,072
Kwahiyo ni bora vilivyoharibika?Ningezima vifaa kwa siku tano mfululizo?
Kwahiyo ni bora vilivyoharibika?Ningezima vifaa kwa siku tano mfululizo?
Uko too negative.pole,ushaliwa mkuu,kwa ubabaishaji wa hii nchi sidhani kama tatizo lako litarekebishwa..
No mkuu,i`ve been through these,na hakuna la maana lilifanyika,hasa kwenye upande huo wa kielektroniki,si miamala,umeme wala mambo ya simu(mitandao)hakuna huduma za haki kwa wateja,akirekebishiwa huyo nakufa haUko too negative.
dah kumi alfu kubwa mzee usawa umekaba huuupole,ushaliwa mkuu,kwa ubabaishaji wa hii nchi sidhani kama tatizo lako litarekebishwa..
nipe tricks mkuuUko too negative.
duuh ata kufariji amna yaaniNo mkuu,i`ve been through these,na hakuna la maana lilifanyika,hasa kwenye upande huo wa kielektroniki,si miamala,umeme wala mambo ya simu(mitandao)hakuna huduma za haki kwa wateja,akirekebishiwa huyo nakufa ha
nimetoka kujaribu now imekataa aseeTatizo lilikuwepo lakini sasa limeisha unaweza kuweka token yako itakubali
duuuhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhDah kumbe sio mimi tu jana nilimpa elfu 25,000 ya awamu ya tano ilivyo ngumu kuipata ili akanunue luku kwa mawakala wa MAX MALIPO kumbe nilivyotoka akaona uvivu akaamua kuweka hela m.pesa anunue mwenyewe kapewa unit bandia jana tumelala giza ila nilimtwanga kibao matata nimetoka nyumbani hatuongeleshani sababu ya upuuzi wa tanesco.
Mimi ilikuwa inakataa lakini imekubali muda si mrefunimetoka kujaribu now imekataa asee
ko umechukua hatua gani aseeDah kumbe sio mimi tu jana nilimpa elfu 25,000 ya awamu ya tano ilivyo ngumu kuipata ili akanunue luku kwa mawakala wa MAX MALIPO kumbe nilivyotoka akaona uvivu akaamua kuweka hela m.pesa anunue mwenyewe kapewa unit bandia jana tumelala giza ila nilimtwanga kibao matata nimetoka nyumbani hatuongeleshani sababu ya upuuzi wa tanesco.
sawa asante, ntaendelea kujaribu tenaMimi ilikuwa inakataa lakini imekubali muda si mrefu
Pamojasawa asante, ntaendelea kujaribu tena
Nshakula loss mkuu na shemeji yako sijui kama ntamkuta maana jana kala banzi la kiwango cha lamiko umechukua hatua gani asee
Nipo tu maana hakuna namna siwezi walaumu mpesa sababu wao pesa waliituma tanesco sasa nikisema nifatilie tanesco wanaweza nipatia tokena mwaka ujao mkuuko umechukua hatua gani asee