Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,274
- 9,911
Tatizo la umeme Bagamoyo ni kama mgonjwa wa ngiri jumanne asubuhi saa 11 ulikatika baada ya mvua kunyesha kidogo jumatano asubuhi saa 11:45 ukakatika tena uliondoka na tshirt kwenda kazini jana alhamisi saa 12 asubuhi umekatika tena ukarudi saa 2, leo tena siku ya mapinduzi saa 12h asubuhi mpaka hivi sasa hakuna umeme hii ni aibu hivi kweli hivyo viwnada vitajegwa kwa style hii hatutafika kwakweli.
Huyu jamaa muwakilishi wao hapa jf yeye ni kutoa tu taratibu za malalamiko wakati wanapokata umeme hawana utaratibu.
Ingekuwa waeja wanashindwa kulipia umeme hapo sawa lakini watu wapo tayari kulipia lakini huduma ni mbovu sana
Huyu jamaa muwakilishi wao hapa jf yeye ni kutoa tu taratibu za malalamiko wakati wanapokata umeme hawana utaratibu.
Ingekuwa waeja wanashindwa kulipia umeme hapo sawa lakini watu wapo tayari kulipia lakini huduma ni mbovu sana