johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,163
- 142,264
Mkurugenzi mkuu wa Tanesco ndugu Maharage amesema hakutakuwa na mgao mkubwa wa umeme kwa sababu ni 20% tu ya mitambo yake ndio itapunguza uzalishaji.
Hata hivyo kuna umeme wa gesi utaongezeka na tayari jana wameingiza megawati 8.
Source: ITV habari
Hata hivyo kuna umeme wa gesi utaongezeka na tayari jana wameingiza megawati 8.
Source: ITV habari