TANESCO Kinondoni yatoa ratiba ya matengenezo ya miundombinu ya umeme

Sijawahi kuona mgao wa kuanza saa 2 asubuhi hadi saa 6 usiku duniani kote!
Waziri anaitwa January mgao kauweka February, jamaa ajitafakari sana. Nilikutana na mzungu Ardhi Institute mwaka 90 alikuwa katoka Denmark anasema toka azaliwe hajawahi shuhudia umeme kukatika na hapo alikuwa na miaka 36 sasa nawaza hao wenzetu vifaa vyao huwa havihitaji marekebisho?
 
Kuna tofauti kubwa sana kauli inapotolewa na mwanasiasa na kauli inayotolewa na Mtaalamu.

Siku 10 za Waziri wa nishati siyo lazima ziwe 10 zinaweza kupungua au kuongezeka...
Acha ku overrate mambo. Vita ni tatizo zaid so usifananishe vita ya kipindi kile na umeme wa sasa
 
Siku kumi za mgao ziwe pia siku kumi za kutafakari namna bora Tanesco inaweza kuendesha operations zake pasipo huu ujinga..

Ajira za kupeana peana, Wazee waliopo toka enzi za Nyerere kwenye shirika watolewe, shirika liajiri vijana active, vijana wenye exposure, vijana wanaojielewa na kuielewa dunia inaendaje...
 
Nchi inazama hii. Chombo inazama. Ohooo.

Tushuke sasa twende hata hapo Malawi.
 
Siku kumi za mgao ziwe pia siku kumi za kutafakari namna bora Tanesco inaweza kuendesha operations zake pasipo huu ujinga..

Ajira za kupeana peana, Wazee waliopo toka enzi za Nyerere kwenye shirika watolewe, shirika liajiri vijana active, vijana wenye exposure, vijana wanaojielewa na kuielewa dunia inaendaje...
Huyo Makamba na Chande si ndio vijana wenyewe hao, tatizo la Tanesco saivi sio wazee au vijana, ni wahuni waliowekwa hapo wanawaza kuiba tu.
 
Kutuvamia? Kwani watanzania tutakuwa na faida gani kwa mmarekani? Labda atukusanye atumwage baharini, aanze na watu wapya
New mexico iliponunuliwa na USA wakaneemeka. Ukiwauliza kama warudi Mexico hawataki hata kusikia neno Mexico!
 
Huyo Makamba na Chande si ndio vijana wenyewe hao, tatizo la Tanesco saivi sio wazee au vijana, ni wahuni waliowekwa hapo wanawaza kuiba tu.

concern yangu iko kuanzia juu kwenye management mpaka kwenye operations...kazi nyingi za kamlete ziko huko kwenye operations ambako ndio sehemu critical...kuanzia Engineers wa kanda, engineers kwenye operations mbalimbali, directors wa operations, and the whole technical team...
 
Ingetolewa ratiba ya kukatika umeme maeneo yote ya nchi kwa ofisi za mikoa.kwa sababu uchumi utatikiswa kwa siku hizi kumi.
 
ni bora kufanya mgao wa siku 20 lakini ukakata umeme saa tatu asubuhi mpaka saa 1 jioni..hii ya mpaka saa sita usiku haijakaa sawa.. saa sita usiku umeme wa nini kama hujauleta mapema? kwa maana muda huo vitu vyote kwenye friji vishavunda. #nchi ya michongo
 
Back
Top Bottom