Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,309
- 4,017
TANESCO huku nilipo kila ijumaa mnakataa umeme kuanzia jioni hadi usiku wa saa tano au saa sita.
Sasa kwa style hii vibaka, wezi au majambazi wanaweza tumia ratiba hii kama fursa ya kufanya matukio yao kutokana na giza kuwepo.
Kwa maana wanajua kila ijumaa mnakataa umeme muda huo basi ikawa tija kwao.
Sasa kwa style hii vibaka, wezi au majambazi wanaweza tumia ratiba hii kama fursa ya kufanya matukio yao kutokana na giza kuwepo.
Kwa maana wanajua kila ijumaa mnakataa umeme muda huo basi ikawa tija kwao.