Mlalahoi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2006
- 2,182
- 883
Mawazo mazuri,lakini harakati za kumpatia Mtanzania ukombozi wa pili haziwezi kuzaa matunda tukiekeza kuishi dunia ya KUFIKIRIKA.Nasema hivyo kwa vile kinachoendelea muda huu Bungeni ni uthibitisho tosha kuwa waraka huu ni wa KUFIKIRIKA maana ingekuwa kutoka kwa the so-called wapambanaji basi tungewaskia wakipinga changa la macho tunalomwagiwa live and direct from Dodoma.