2. Wahusika wakuu wa kashfa hizi zifuatazo washughulikiwe kichama na kiserikali
ikiwemo ni pamoja na kufikishwa mahakamini chini ya sheria ya Mitandao ya Kihalifu
na Uhujumu Uchumi ya 1984. Tunatambua baadhi yao ni wale ambao
tumependekeza hapo juu wawajibike wenyewe kwa kuachilia nafasi za uongozi ndani
ya chama.
· Kashfa ya Loliondo ambapo urithi wa watoto wetu uliuzwa na umeendelea kuuzwa
kwa wageni.
· Kashfa ya IPTL -
· Kashfa ya Commodity Import Support
· Kashfa ya Mgodi wa Kiwira
· Kashfa ya Akaunti ya EPA
· Kashfa ya Meremeta Ltd, Mwananchi Gold, Deep Green Finance, na Tangold
· Kashfa ya Rada
· Kashfa ya Ununuzi wa Airbus
· Kashfa ya Ununuzi wa Gulfstream 500 (ndege ya Rais)
· Kashfa ya Richmond
· Kashfa ya Dowans
· Kashfa ya magari, silaha na helikopta za JWTZ
· Kashfa ya silaha haramu
· Kashfa za madawa ya kulevya
· Kashfa ya uuzwaji wa maeneo wazi
· Kashfa ya misamaha ya kodi ya Alex Stewart
· Kashfa ya Ujenzi wa Minara miwiliya Benki Kuu