Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,147
Uko nyuma..............
Mhuni mmoja asiyejua hata kiswahili amekaa akaandika! Interesting though!
Mhuni mmoja asiyejua hata kiswahili amekaa akaandika! Interesting though!
hii yaweza kuwa propaganda kutoka upinzania (thinking out of box)
Wewe ndio umeruhusu itoke? Maana naona imetolewa na Enigma.
!
Wewe ndio umeruhusu itoke? Maana naona imetolewa na Enigma.
Hii inaitwa DIVORCE PAPER
Kwa style ya uandishi na hata nukuu hii kitu ni ya kutoka kwa wenyewe kabisa. Sasa kama ni mtu mmoja au kakundi miongoni mwao ni lingine. Hii ikiwekwa vizuri ni Ilani tosha ya uchaguzi.
Sasa wameweza kuwataja watuhumiwa bila kujitaja wao? Huu ni upungufu mkubwa sana kuacha statement iliyosheheni uzalendo kama hii mpaka damu inachemka bila ya kuweka majina.
Hapo ndipo inapoonyesha ukosefu wa kujiamini wa wanasiasa wa Tanzania. Toka uhesabiwe kwa mema au mabaya na sio kujificha ficha!
Lisemwalo lipo kama halipo..............
Hii kitu ukisoma ni uandishi wa mwanakijiji lakini ameandika hisia za kina Sitta/Malecela kuelekea kikao cha Kamati Kuu na NEC ya CCM kinachotarajiwa kukaa hivi karibuni.
PM
wajitambulishe hawajipendi?mmmh .......hawa wapiganaji hawana jina? au ndio usawa ule ule wa siasa za `kuogopana` na `kuoneana haya`?
Hata mimi mwenyewe nimeipenda kwa sababu hiyo; imebeba mawazo yangu mengi. Sasa hivi ukiangalia kuna watu wengi wanaandika kwa staili yangu kiasi kwamba siwezi tena kubeba ujiko wa uandishi wa aina yangu. But.. no.. siyo ya kwangu.. niko busy kwa mambo makubwa zaidi kuliko migongano ndani ya CCM. Nilishaandika hisia zangu kuhusu upiganaji CCM, and I'm still standing on them.
DU.....kweli wewe ni wa majuu......
mimi naamini wewe ndio upo ndani ya Box, kwasababu hata mwenyekiti wa chama hicho/CCM alikiri wazi kuwa kunampasuko wa dhahiri shahiri ambao umepelekea wanachama wake hata kuogopana na kuchukiana kiasi cha kutoaminiana na kuachiana glass za maji kisa watawekeana sumu...maneno ya JK Kikwete MWENYEKITI WA CCM na Rais wa JMT.hii yaweza kuwa propaganda kutoka upinzania (thinking out of box)