Liko wapi hilo tamko?π° TAMKO LA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA
π’ Leo Tarehe 5 Januari,2022 kuanzia Saa 5:00 Asubuhi
π’ Eneo Ofisi ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam
#NyukiWaMama
View attachment 2068957
π€£π€£π€£π€£hao nyuki wametawanywa au?
Tushakata midomo sasa, as i told you mtanyooka. Na ule mnyororo wote ndio tunaenda kuuzika sasa, mbwa nyie.Hata waseme nini, mtu hawezi akakopa trillion 10 ndani ya miezi 9 kwa ajili ya madawati tena bila ruhusa ya bunge, hii haikubaliki, maana tunaweza kuja kupigwa mnada namna hii, hili lazima litaondoka na mtu!
Mkuu mie ilibidi niruke mpaka page ya mwisho ili nione tamko wacha niendelee kulisakaLiko wapi hilo tamko?
Kazi kwelikweli mkuu wangu!Mkuu mie ilibidi niruke mpaka page ya mwisho ili nione tamko wacha niendelee kulisaka
Uko sahihi100%CCM mnaenda kufanya kosa mtakalojutia milele.
Mimi nasimama na Ndugai kulinda haki yake;
. 1. Kama raia kutoa mawazo yake hta kama ni pumba, katiba inampa uhuru huo.
. 2. Kama spika Muhimili unaojitegemea anaweza ku CHECK AND BALANCE of executive order. Na anao huo wajibu na Haki kwa pamoja.
Mkifunga Mhumili moja mjiandae na Mahakama utadhibitiwa.
Logically ita display ya kuwa mama anataka kuwa DICTATOR.! (?)
Pengine tamko ni la kuwatakia wananchi heri ya mwaka mpya
Acha ujinga kwani nyinyi na huyo bibi yenu ni watakatifu wote ni majizi! Usifikiri Ndugai yuko mwenyewe ana watu nyuma yake! Mtajua hamjui mda si mrefu!
Msimamo katka maisha huwa nikitu muhimu sana ila ukikosa msimamo mwisho wa siku ndiyo hayo unajikuta unadharilika kizembe kabisaPoor Ndugai, ulikosea sana kuomba msamaha ona sasa opponent(s) wako (mama na chawa wake) wanavyoenda kukumaliza
Speaker ni mtu mzito sana, sio wa kuomba msamaha kirahisi rahisi (kizembe zembe), ulipaswa kuendelea kuwa nunda (kuvimba) hata kama ungelikuwa umekosea kweli, kitendo chako cha kuomba msamaha kimempa nguvu Chief Hagaya.... hukujifunza hata kwa Marehemu Samuel Sitta!?! Aliyekuwa nunda kwa JK
Mtoto mzuri kama huyu asiliwe kwa nini? Kwani Ndugai hana hisia, liwalo na liwe, ila hizo trillion 10 ndani ya miezi tisa mkop wa madawati haikubalikView attachment 2069205
Haya tamko hilo ZUZU wama stress alikuwa anataka rushwa ya mbususu
Tamko liko wapi? Linahusu nini?π° TAMKO LA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA
π’ Leo Tarehe 5 Januari,2022 kuanzia Saa 5:00 Asubuhi
π’ Eneo Ofisi ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam
#NyukiWaMama
View attachment 2068957
Na bado. Zimwi la uchafuzi mkuu linawasumbua. Waache wagalagazane. UVIKO 19 wajiandae kwa baridi kali itakayowasibu.Umelenga mule mule hawa watu cjui wapoje aisee huwa wanaenda na upepo wa mwenyekiti wao
ππππPengine tamko ni la kuwatakia wananchi heri ya mwaka mpya