Tamko la wajumbe wa halmashauri kuu ya CCM taifa

Hata waseme nini, mtu hawezi akakopa trillion 10 ndani ya miezi 9 kwa ajili ya madawati tena bila ruhusa ya bunge, hii haikubaliki, maana tunaweza kuja kupigwa mnada namna hii, hili lazima litaondoka na mtu!
Tushakata midomo sasa, as i told you mtanyooka. Na ule mnyororo wote ndio tunaenda kuuzika sasa, mbwa nyie.
 
CCM mnaenda kufanya kosa mtakalojutia milele.
Mimi nasimama na Ndugai kulinda haki yake;

. 1. Kama raia kutoa mawazo yake hta kama ni pumba, katiba inampa uhuru huo
.
. 2. Kama spika Muhimili unaojitegemea anaweza ku CHECK AND BALANCE of executive order. Na anao huo wajibu na Haki kwa pamoja.

Mkifunga Mhumili moja mjiandae na Mahakama utadhibitiwa.


Logically ita display ya kuwa mama anataka kuwa DICTATOR.! (?)
Uko sahihi100%
 
Acha ujinga kwani nyinyi na huyo bibi yenu ni watakatifu wote ni majizi! Usifikiri Ndugai yuko mwenyewe ana watu nyuma yake! Mtajua hamjui mda si mrefu!

Hilo tamko liko wapi?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
1641373017630.jpg

Haya tamko hilo ZUZU wama stress alikuwa anataka rushwa ya mbususu
 
Maswala za uccm na uchadema tupia kule ila hatokaa atokee mwamba mwenye Koo ya kiume misimamo thabiti katika nchi hii Kama mbowe uyu jamaa serikali imempa kila aina ya maumivu imeingilia shughuli zake zingine zimekufa kabisa kapewa wakina sabaya wakadili nae wampoteze mwisho wa siku sabaya kapotezwa yeye mwamba mahabusu pamekua Kama ndo chumbani kwake pa kulala but akitoa mawazo yake kwa kile anachokiamini atakifia hicho hicho na hio ndo maana ya uongozi

Mfano mzuri ni mawazo yake ya serikali kupitisha katiba mpya anamini katiba mpya itakua tiba ya Mambo mengi ya kiungozi katika nchi hii serikali haiko tayari wamemnyamazisha mwamba anasota mahabusu wamempiga kesi nzito but msimamo wake ni huo sio kwamba kule mahabusu ni pazuri sio kwamba huu muda aliokaa gerezani shughuli zake haziitaji uangalizi wake but kapuuzia vyote hivyo kaona Bora wamfunge ila katiba mpya kwa nchi hii kwake ndio tiba huo ndio msimamo wa kiuongozi

Huyu spika ameshindwa kujifunza hata kidogo tu kwa huyu mwamba ishu ni mikopo imezidi huu uongozi unakuja baada ya muda unapita wanavyoacha madeni makubwa kiasi hiki itakuja kuathiri vizazi vyetu mbeleni sababu athari za mikopo hutoziona Sasa zitakuja onekana wakati waliotukopa watakapohitaji pesa zao na hatuna kwa wakati huo what next...

Spika umeongea ukweli ila umekosa sifa ya kua kiongozi kwa kushindwa kusimamia ulichokiamini kwenye mhimili wako shame on you
 
Poor Ndugai, ulikosea sana kuomba msamaha ona sasa opponent(s) wako (mama na chawa wake) wanavyoenda kukumaliza

Speaker ni mtu mzito sana, sio wa kuomba msamaha kirahisi rahisi (kizembe zembe), ulipaswa kuendelea kuwa nunda (kuvimba) hata kama ungelikuwa umekosea kweli, kitendo chako cha kuomba msamaha kimempa nguvu Chief Hagaya.... hukujifunza hata kwa Marehemu Samuel Sitta!?! Aliyekuwa nunda kwa JK
Msimamo katka maisha huwa nikitu muhimu sana ila ukikosa msimamo mwisho wa siku ndiyo hayo unajikuta unadharilika kizembe kabisa
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom