Tanganyika
Member
- Nov 4, 2010
- 67
- 1
Hawa wametumwa si utashi wao...........Mungu awasaidie.
pia hawa hawa wanaopiga vuvuz ndio wanaoongoza kutibiwa ktk hosptali hizo.nadhani iwapo wakatristo nao watadai fidia kutokana shule na mahospitali yao yote yaliyotaifishwa na nyerere serikali hii itafilisika kwa sababu wakati wa uhuru shule na mahospitali karibu yote makubwa yalikuwa ya wakristo. Hata kikwete mwenyewe alisomea kwenye shule za kikristo zilizotaifishwa na nyerere.
Ndugu zangu waislamu wanakosea sana kukubali kudanganywa kuwa eti serikali inafanya kazi kufurahisha wakaristo na kusahau jinsi ambavyo taasisi za kikristo zinavyoisaidia serikali katika huduma mbalimbali za kijamii. Inawezekana mikoa ya tanga na dar es salaama hawapati huduma hizo, lakini kwenye mikoa mingi kama ile ya kati, kaskazini, kusini na kanda ya ziwa kuna huduma nyingi sana zinazotolewa na taasisi za dini ambazo zilitakiwa ziwe zinatolewa na serikali; kwa mfano mahospitali ya rufaa ya kcmc na bugando, na mahospitali mengineyo mengi sana.
hakudanganya ila alisema serikali imeongeza ruzuku hiyo ili huduma za afya zifikie watu wengi zaidi.
Uzuri ni kwamba hakulazimishwa kuongea hilo ila alisema kwa uwezo wake.
Hivyo basi nawaomba wenzangu mkikutana naye misikitini muulizeni kulikoni mbona nyie hawapigii pande???? Pia mkullo si uwa mnakutana naye, waulizeni hela wanatoa za nini?? Si ni wenzenu.
Na pia kuna mawaziri na manaibu waislam waulizeni kwa nini huwa hawapingi hayo malipo kwenye mikutano ya baraza la mawaziri??? Mwisho waambieni waumini wenu wote wasiende kutibiwa kwenye hospitali za kanisa ili ijulikane kuwa pesa zinawasaidia wakristo tu.
Mkuu mimi sina tatizo na hapo kwenye Red, najua kama Kanisa Katoliki inafanya kazi zake kama Institute swali langu mimi taingia mwanzo ni hawa wanaojitapa kama wasomi wa Tanzania wamelisaidiaje taifa kutoka kwenye dimbwi la umasikini? zaidi ya kutuletea umasikini1. Kuna daraja huko Kigoma lilijengwa na Wamisionari wa Kanisa Katoliki (huu ni mfano mmoja tu).
2. Nilienda Kiloleni (nadhani iko Mombo) miaka ya 1980s barabara iliyokuwa inatumika na usafiri vilikuwa mali ya Kanisa Katoliki.
3. Nilienda Kisiwa cha Kome miaka ya 1990s boti iliyokuwa inatumika kusafirisha watu kwenda na kutoka kisiwani Kome ilikuwa mali ya Kanisa Katoliki.
4. Nina mifano pia kutoka nchi nyingine kama Malawi, Zambia na Msumbiji.
5. Soko tayari kuwatetea mafisadi wanaotuibia na kutufanya tushi kwenye umaskini wa kutupwa wawe Wakristo au wasio Wakristo.
Aaah! kwa hiyo una mpango wa kutupa bakola ya mbavu, eh?mwisho wa uelewa wao utauona just wait. kwa sababu wewe ni kama mbuzi, mbuzi ukimzungumzisha atakusikia lakini hatokuelewa lakini ukimpa bakola ya mbavu atakuelewa. so wait at the end utawaelewa nini wanachozungumza
Kwani nani alikuambia nchi hii ni ya kwenu? Au ndivyo mnavyofundishwa kanisani siku hizi? Usilete akili za mbege na kitimoto hapa!
Haaaa haaaa! Kumbe nchi hii ni ya akina nani wandugu?
Kila goti litapigwa na kila ulimi utakili kuwa Yesu ni Bwana!!!!!!!!!! Mwishowe matambo yoote yataisha!!!!!!!!!!!!
Nadhani iwapo wakatristo nao watadai fidia kutokana shule na mahospitali yao yote yaliyotaifishwa na Nyerere serikali hii itafilisika kwa sababu wakati wa uhuru shule na mahospitali karibu yote makubwa yalikuwa ya wakristo. Hata Kikwete mwenyewe alisomea kwenye shule za kikristo zilizotaifishwa na Nyerere.
Ndugu zangu waislamu wanakosea sana kukubali kudanganywa kuwa eti serikali inafanya kazi kufurahisha wakaristo na kusahau jinsi ambavyo taasisi za kikristo zinavyoisaidia serikali katika huduma mbalimbali za kijamii. Inawezekana mikoa ya Tanga na Dar es Salaama hawapati huduma hizo, lakini kwenye mikoa mingi kama ile ya Kati, kaskazini, kusini na kanda ya ziwa kuna huduma nyingi sana zinazotolewa na taasisi za dini ambazo zilitakiwa ziwe zinatolewa na serikali; kwa mfano mahospitali ya rufaa ya KCMC na Bugando, na mahospitali mengineyo mengi sana.
Mkuu mimi sina tatizo na hapo kwenye Red, najua kama Kanisa Katoliki inafanya kazi zake kama Institute swali langu mimi taingia mwanzo ni hawa wanaojitapa kama wasomi wa Tanzania wamelisaidiaje taifa kutoka kwenye dimbwi la umasikini? zaidi ya kutuletea umasikini
Kumbe kuna watu wanasoma al-nuru & al-huda,...