Wewe ni muislamu wa ajabu maana fikra zako zina mapungufu mno na naona hata elimu yako pia ina walakini, Unadai kutaka kushiriki maandamano ya chadema ili kupata katiba lakini hujuwi hata umuhimu wa hiyo katiba unadhani itajaza watu pesa mfukoni. Ninachojua tunachokipigania kwenye katiba mpya ni kuweka ground zitakazomsaidia kila mtanzania kujikwamua na kufanikiwa katika jitihada halali. Kama ungekuwa umesoma na kuelimika kama tunavyotarajia msomi awe ungejua kuwa kinacholalamikiwa na hwa waislamu ni mazingira yakiwemo mgawanyo usio sawa wa rasilimali na keki ya taifa. Wewe unasema wajenge shule na vyuo vikuu sawa na wakristo watapata wapi hizo hela wakati nafasi zote muhimu na ajira zenye maslahi zimechukuliwa na wakristo?. Yaani unapingana na ukweli kuwa ukoloni uliwaendeleza wakristo ili wawatawale waislam?. Na unawataka waislamu waendelee from no where!!!!. Wewe ni sawa na wale wanaodai watanzania wa kule vijijini ni masikini kwa kuwa ni wavivu. Mwisho nakushauri hata hizo harakati za katiba uachane nazo maana hujuwi lengo lake unatuigiza sisi tu tunaoelewa mambo.
Elimu ya madrasa. Ni wataalamu wa utafiti wa kodi. Wanawaza kuoa wanawake wanne and a lot of concubinesWanafikilia kwa kutumia elimu ya madrassa. Hongera waislam wa Tanga kwa tamko ambalo limeonyesha uelewa wenu. KEEP IT UP!
wamelewa mapilau ya kwenye hitimaYaani.... kama mateja vile kijiweni!!!!!!!!
waislam wa tanga wameitaka serikali kufanya yafuatayo katika tamko lao la tarehe 3/4/2011(kuhusu mfumo wanaodai ni mfumo kristo)
1.iache kutekeleza mipango yake kutokana na matakwa na mashinikzo ya makanisa kupitia maaskofu na wachungaji wao
2.isitishe mara moja kugawa mabilioni ya shilingi kwa taasisi za kanisa pekee
3.baada ya kutekeleza hayo(1&2),waislam wa tanga kwa manufaa yetu sote tunaitaka serikali
i.itaifishe mali zote za kanisa iliyopatikana kwa njia isiyo stahiki yake,kwa maana ya zile zilizotokana na
ruzuku itokanayo na kodi zetu.Hilo lifuatiwe na kugawanywa kwa mali hizo kulingana na asilimia ya
kodi kila jamii ilivyotoa
ii.iwapo hilo(3i)ni gumu,tunaitaka serikali ipige hesabu ya kodi yote iliyowapatia wakristo na makanisa
yao kwa miaka yote tangu uhuru.
Thamani itakayopatikana igawanywe upya na waislam kupitia taasisi zetu tupate mgao utakaokuwa
stahiki yetu
4.Serikali iunde mfumo wa serikali za majimbo ili kila watu wajitawale kwa mujibu wa sheria zao,kama
tamko la dar es salaam lilivyosema
source:gazeti la kiislam la annur;8-14/4/2011
katika watu wa ajabu dunian basi waweza kuwemo. Mwenzako kawashaur waislam kuwa tatiz sio wakritu kupata mgao ni strategy zao tu kitu ambacho akiwazuii waislamu nao waombe na watapewa. Kasema kuna hospital, shule, vyuo nk na wao wanaandika maproposal kibao wanaomba ulaya. Nyie mmeshaomba kwa waarabu wenzenu mkanyimwa mbona kuna wapo wenye pesa nyingi mpaka wanawekeza kwenye mpira like man city. Tatizo ni elimu nyie badala ya kuomba kujengewa shule mnaomba misikiti tu kias kwamba kila baada ya nyumba kumi msikit unategemea nini hapo? Nakuomba utumie elimu yako kujibu hoja sio kukurupuka na udin tu. Hv we unadhan wakristu wakisema tutaudumia wakristu wenzetu kwenye mahospital, shule, vyuo, maji, umeme, nk kwa huduma zote nyie waislamu mtaenda wapi?
waislam wa tanga wameitaka serikali kufanya yafuatayo katika tamko lao la tarehe 3/4/2011(kuhusu mfumo wanaodai ni mfumo kristo)
1.iache kutekeleza mipango yake kutokana na matakwa na mashinikzo ya makanisa kupitia maaskofu na wachungaji wao
2.isitishe mara moja kugawa mabilioni ya shilingi kwa taasisi za kanisa pekee
3.baada ya kutekeleza hayo(1&2),waislam wa tanga kwa manufaa yetu sote tunaitaka serikali
i.itaifishe mali zote za kanisa iliyopatikana kwa njia isiyo stahiki yake,kwa maana ya zile zilizotokana na
ruzuku itokanayo na kodi zetu.Hilo lifuatiwe na kugawanywa kwa mali hizo kulingana na asilimia ya
kodi kila jamii ilivyotoa
ii.iwapo hilo(3i)ni gumu,tunaitaka serikali ipige hesabu ya kodi yote iliyowapatia wakristo na makanisa
yao kwa miaka yote tangu uhuru.
Thamani itakayopatikana igawanywe upya na waislam kupitia taasisi zetu tupate mgao utakaokuwa
stahiki yetu
4.Serikali iunde mfumo wa serikali za majimbo ili kila watu wajitawale kwa mujibu wa sheria zao,kama
tamko la dar es salaam lilivyosema
source:gazeti la kiislam la annur;8-14/4/2011
waislam wa tanga wameitaka serikali kufanya yafuatayo katika tamko lao la tarehe 3/4/2011(kuhusu mfumo wanaodai ni mfumo kristo)
1.iache kutekeleza mipango yake kutokana na matakwa na mashinikzo ya makanisa kupitia maaskofu na wachungaji wao
2.isitishe mara moja kugawa mabilioni ya shilingi kwa taasisi za kanisa pekee
3.baada ya kutekeleza hayo(1&2),waislam wa tanga kwa manufaa yetu sote tunaitaka serikali
i.itaifishe mali zote za kanisa iliyopatikana kwa njia isiyo stahiki yake,kwa maana ya zile zilizotokana na
ruzuku itokanayo na kodi zetu.Hilo lifuatiwe na kugawanywa kwa mali hizo kulingana na asilimia ya
kodi kila jamii ilivyotoa
ii.iwapo hilo(3i)ni gumu,tunaitaka serikali ipige hesabu ya kodi yote iliyowapatia wakristo na makanisa
yao kwa miaka yote tangu uhuru.
Thamani itakayopatikana igawanywe upya na waislam kupitia taasisi zetu tupate mgao utakaokuwa
stahiki yetu
4.Serikali iunde mfumo wa serikali za majimbo ili kila watu wajitawale kwa mujibu wa sheria zao,kama
tamko la dar es salaam lilivyosema
source:gazeti la kiislam la annur;8-14/4/2011
Hawa watu wa dini dini hii wanamatatizo sana ya kufikiri,kila siku wao ni kulalalmika,waangalie somalia wamebaki wenyewe lakini nchi haisongi tena mbele ni tabu juu ya tabu.natamani siku moja nihudhuria vikao vya hawa jamaa, sijui huwa huwa wanawaza nini? yaaani sipati picha ya mwanzisha mada na wachangiaji sijui huwa huwa wanawaza nini? nina mashaka makubwa kwamba tunaishi nao kwenye karne hii
waislam wa tanga wameitaka serikali kufanya yafuatayo katika tamko lao la tarehe 3/4/2011(kuhusu mfumo wanaodai ni mfumo kristo)
1.iache kutekeleza mipango yake kutokana na matakwa na mashinikzo ya makanisa kupitia maaskofu na wachungaji wao
2.isitishe mara moja kugawa mabilioni ya shilingi kwa taasisi za kanisa pekee
3.baada ya kutekeleza hayo(1&2),waislam wa tanga kwa manufaa yetu sote tunaitaka serikali
i.itaifishe mali zote za kanisa iliyopatikana kwa njia isiyo stahiki yake,kwa maana ya zile zilizotokana na
ruzuku itokanayo na kodi zetu.Hilo lifuatiwe na kugawanywa kwa mali hizo kulingana na asilimia ya
kodi kila jamii ilivyotoa
ii.iwapo hilo(3i)ni gumu,tunaitaka serikali ipige hesabu ya kodi yote iliyowapatia wakristo na makanisa
yao kwa miaka yote tangu uhuru.
Thamani itakayopatikana igawanywe upya na waislam kupitia taasisi zetu tupate mgao utakaokuwa
stahiki yetu
4.Serikali iunde mfumo wa serikali za majimbo ili kila watu wajitawale kwa mujibu wa sheria zao,kama
tamko la dar es salaam lilivyosema
source:gazeti la kiislam la annur;8-14/4/
Hamtathubutu kwenda kinyume na JK "muislamu" mwenzenu. Msituletee unafiki wa kutumika kama magogo ya chooni hapa!waislam wa tanga wameitaka serikali kufanya yafuatayo katika tamko lao la tarehe 3/4/2011(kuhusu mfumo wanaodai ni mfumo kristo)
1.iache kutekeleza mipango yake kutokana na matakwa na mashinikzo ya makanisa kupitia maaskofu na wachungaji wao
2.isitishe mara moja kugawa mabilioni ya shilingi kwa taasisi za kanisa pekee
3.baada ya kutekeleza hayo(1&2),waislam wa tanga kwa manufaa yetu sote tunaitaka serikali
i.itaifishe mali zote za kanisa iliyopatikana kwa njia isiyo stahiki yake,kwa maana ya zile zilizotokana na
ruzuku itokanayo na kodi zetu.Hilo lifuatiwe na kugawanywa kwa mali hizo kulingana na asilimia ya
kodi kila jamii ilivyotoa
ii.iwapo hilo(3i)ni gumu,tunaitaka serikali ipige hesabu ya kodi yote iliyowapatia wakristo na makanisa
yao kwa miaka yote tangu uhuru.
Thamani itakayopatikana igawanywe upya na waislam kupitia taasisi zetu tupate mgao utakaokuwa
stahiki yetu
4.Serikali iunde mfumo wa serikali za majimbo ili kila watu wajitawale kwa mujibu wa sheria zao,kama
tamko la dar es salaam lilivyosema
source:gazeti la kiislam la annur;8-14/4/2011