Tamko la waislam wa Tanga

Kwani nani alikuambia nchi hii ni ya kwenu? Au ndivyo mnavyofundishwa kanisani siku hizi? Usilete akili za mbege na kitimoto hapa!
Kila goti litapigwa na kila ulimi utakili kuwa Yesu ni Bwana!!!!!!!!!! Mwishowe matambo yoote yataisha!!!!!!!!!!!!
 
Mwislamu mwenzao(JK) kawadanganya ati kalipa kanisa Tsh 600bn....sijui kutoka account gani yarabi....ndio chanzo cha yota haya
 
Mkuu lini ulisikia Waislam wanajisifia wamesoma? wenyewe wanakubali awajasoma, Labda unisaidie wasomi wa Wakirsto wa Tanzania wamelisaidiaje taifa ili kutoka kwenye umasikini zaidi ya ufisadi tu, ndio maana nakuambia wasomi wa Tanzania ambayo wapo serikalini ndio wanatusabishia huu umasikini
Kinara wa nchi hii mwenye uwezo kupambana na ufisadi je, ni mkristo?????????
Fikiri bwana anayelinda mafisadi hata wanapo tamkwa hadharani ni nani?????????Uwe mkweli bwana, sote tushirikiane tujenge Tanzania yetu isiyo na ufisadi!!! Hizi agenda zinaletwa humu kupunguza kasi ya kudai katiba mpya, ni kutuparaganisha tuu wote tuwe macho sote ni ndugu moja tupo kwenye mtumbwi mmoja Tanzania. Tukitoboa matundu tutazama!!!!!!!!!!!!!!!!
 
nakubaliana na wewe mkuu,sisi tunao jiita tumesoma kuliko wa upande wa pili ndio tupo maofisini kwa wingi na ndio tulio ipelekea hii nchi pabaya kwa kujifanya tumesoma na kuingia mikataba ambayo inaimalia hii nchi
kwa kweli ktk watu wanaotakiwa kulaumiwa ktk hii nchi masikini ni sisi wakristo wasomi ambao tumeiingiza nchi hii ktk matatizo makubwa sana, na kiukweli ni bora kuwa na watu wasio enda shule kuliko kuwa na watu waliokwenda shule na bado ni mzigo kwa taifa

ni bora wao waislamu hawajasoma hivyo wajasababisha nchii hii kuingia ktk mikataba yha ulaghai inatutafuna wote sasa wakristo kwa waislamu
Si Wakristo nao wameiga kuwa kila kitu ni suna, ukimchunga ngombe mwizi na mwingine naye si ataambukizwa wizi pia????????
Suna hiyo imo hiyo!!!!!!
 
Magobe T
Mimi naweza kukubaliana na wewe kwenye vitu viwili ulivyovitaja kwenye huduma za jamii kama vile-mashule, hospitali, lakini hivyo vingine kujenga barabara, madaraja sijui wewe mkuu unaishi wapi labda unaishi Masaki. kingine mkuu naona upo tayari kumtetea Msomi yoyote Fisadi ata kama yupo CCM kama ni Mkirsto

1. Kuna daraja huko Kigoma lilijengwa na Wamisionari wa Kanisa Katoliki (huu ni mfano mmoja tu).
2. Nilienda Kiloleni (nadhani iko Mombo) miaka ya 1980s barabara iliyokuwa inatumika na usafiri vilikuwa mali ya Kanisa Katoliki.
3. Nilienda Kisiwa cha Kome miaka ya 1990s boti iliyokuwa inatumika kusafirisha watu kwenda na kutoka kisiwani Kome ilikuwa mali ya Kanisa Katoliki.
4. Nina mifano pia kutoka nchi nyingine kama Malawi, Zambia na Msumbiji.
5. Siko tayari kuwatetea mafisadi wanaotuibia na kutufanya tuishi kwenye umaskini wa kutupwa wawe Wakristo au wasio Wakristo.
 
Wanafikilia kwa kutumia elimu ya madrassa. Hongera waislam wa Tanga kwa tamko ambalo limeonyesha uelewa wenu. KEEP IT UP!
kwa ukweli elim ya madrasa mwenzangu uliikosa sasa labda ili ujue ubora wake lazima uisome sio kubuni tu na akili yako haijawa kamili ndo maana unabeza yale usiyoyajua.
 
Kinara wa nchi hii mwenye uwezo kupambana na ufisadi je, ni mkristo?????????
Fikiri bwana anayelinda mafisadi hata wanapo tamkwa hadharani ni nani?????????Uwe mkweli bwana, sote tushirikiane tujenge Tanzania yetu isiyo na ufisadi!!! Hizi agenda zinaletwa humu kupunguza kasi ya kudai katiba mpya, ni kutuparaganisha tuu wote tuwe macho sote ni ndugu moja tupo kwenye mtumbwi mmoja Tanzania. Tukitoboa matundu tutazama!!!!!!!!!!!!!!!!
hope sio wana JF pekee wanapaswa kusoma hii lakini kila Mtanzania mwenye na asiye na mapenzi mema kwa nchi hii! RESPECT!
 
waislam wa tanga wameitaka serikali kufanya yafuatayo katika tamko lao la tarehe 3/4/2011(kuhusu mfumo wanaodai ni mfumo kristo)
1.iache kutekeleza mipango yake kutokana na matakwa na mashinikzo ya makanisa kupitia maaskofu na wachungaji wao
2.isitishe mara moja kugawa mabilioni ya shilingi kwa taasisi za kanisa pekee
3.baada ya kutekeleza hayo(1&2),waislam wa tanga kwa manufaa yetu sote tunaitaka serikali
i.itaifishe mali zote za kanisa iliyopatikana kwa njia isiyo stahiki yake,kwa maana ya zile zilizotokana na
ruzuku itokanayo na kodi zetu.Hilo lifuatiwe na kugawanywa kwa mali hizo kulingana na asilimia ya
kodi kila jamii ilivyotoa
ii.iwapo hilo(3i)ni gumu,tunaitaka serikali ipige hesabu ya kodi yote iliyowapatia wakristo na makanisa
yao kwa miaka yote tangu uhuru.
Thamani itakayopatikana igawanywe upya na waislam kupitia taasisi zetu tupate mgao utakaokuwa
stahiki yetu
4.Serikali iunde mfumo wa serikali za majimbo ili kila watu wajitawale kwa mujibu wa sheria zao,kama
tamko la dar es salaam lilivyosema
source:gazeti la kiislam la annur;8-14/4/2011

Udini kwenye SIASA.
 
Mungu wangu hivi hii mimburura haiwezi kufanya jambo lingine zaidi ya kupambana na maaskofu? nakumbuka Askofu mkuu wa Mwanza (Kanisa katoliki) Ruwaichi Taddeus aliwahi kuongelea kuhusu tuhuma za waislamu kuwa "kwa maongezi ya hawa watu siwezi kuchangia, yeyote mwenye akili timamu atachambua na kuona nani hatumii busara" nashukuru kuwa maaskofu wameenda shule ya maana na hawahangaiki na mamwinyi!
 
Mwislamu mwenzao(JK) kawadanganya ati kalipa kanisa Tsh 600bn....sijui kutoka account gani yarabi....ndio chanzo cha yota haya

Hakudanganya ila alisema serikali imeongeza ruzuku hiyo ili huduma za afya zifikie watu wengi zaidi.
Uzuri ni kwamba hakulazimishwa kuongea hilo ila alisema kwa uwezo wake.
Hivyo basi nawaomba wenzangu mkikutana naye misikitini muulizeni kulikoni mbona nyie hawapigii pande???? Pia Mkullo si uwa mnakutana naye, waulizeni hela wanatoa za nini?? si ni wenzenu.
Na pia kuna mawaziri na manaibu waislam waulizeni kwa nini huwa hawapingi hayo malipo kwenye mikutano ya baraza la mawaziri??? Mwisho waambieni waumini wenu wote wasiende kutibiwa kwenye hospitali za kanisa ili ijulikane kuwa pesa zinawasaidia wakristo tu.
 
Jamani sisi wakristo inabidi tujilaumu wenyewe na kutubu kwa mabaya tuliyoyayafanya ktk nchi yetu,ebu tuangalie ile mikataba ya buzwagi,melemeta,angalia Epa,dowans,angalia mauaji ya mwembe chai,mauaji ya zanzibari na ya karume lengo letu lilikuwa tuitawale nchi lakini tumeipelekea nchi kutambaa sasa,nchi inayumba,hata hii elimu tunayojigamba nayo haina maana kabisa,vizazi vyetu tumeviandalia mazingira magumu sana hapo baadae,

Nadhani umefika wakati sasa tuihurumie hii nchi masikini,tumeila vya kutosha hebu sasa tufanye kazi kwa maendeleo ya taifa letu kwa vizazi vya sasa na baadae,
 
Nadhani iwapo wakatristo nao watadai fidia kutokana shule na mahospitali yao yote yaliyotaifishwa na Nyerere serikali hii itafilisika kwa sababu wakati wa uhuru shule na mahospitali karibu yote makubwa yalikuwa ya wakristo. Hata Kikwete mwenyewe alisomea kwenye shule za kikristo zilizotaifishwa na Nyerere.

Ndugu zangu waislamu wanakosea sana kukubali kudanganywa kuwa eti serikali inafanya kazi kufurahisha wakaristo na kusahau jinsi ambavyo taasisi za kikristo zinavyoisaidia serikali katika huduma mbalimbali za kijamii. Inawezekana mikoa ya Tanga na Dar es Salaama hawapati huduma hizo, lakini kwenye mikoa mingi kama ile ya Kati, kaskazini, kusini na kanda ya ziwa kuna huduma nyingi sana zinazotolewa na taasisi za dini ambazo zilitakiwa ziwe zinatolewa na serikali; kwa mfano mahospitali ya rufaa ya KCMC na Bugando, na mahospitali mengineyo mengi sana.
 
Mie nazidi kusema asante kwao kwa kutuonyesha hapo ndio mwisho wa elimu yao ilipowafikisha thanks kwa mawazo yao katiba inawaruhusu kabisa ila sema tutayaweka kapuni mpaka hapo nchi itakapokosa wenye mawazo yenye hekima ndio yao tutayapa nafasi.
 
Mwislamu mwenzao(JK) kawadanganya ati kalipa kanisa Tsh 600bn....sijui kutoka account gani yarabi....ndio chanzo cha yota haya

kama kawadanganya mbona maaskofu hawakumpinga pale pale kwenye sherehe dodoma? au umekurupuka kutype?Hakuna fisadi mkubwa kwa watanzania kama kanisa,sisi tunaumiza kichwa isue ya dowanz ambayo ni 94b halafu eti wao wanaenda kuchukua 611.9b hakika huu ni ubalazuri uliokithiri.
 
Hivi hapo ndo mwisho wa uelewa wao au wanajoke?

mwisho wa uelewa wao utauona just wait. kwa sababu wewe ni kama mbuzi, mbuzi ukimzungumzisha atakusikia lakini hatokuelewa lakini ukimpa bakola ya mbavu atakuelewa. so wait at the end utawaelewa nini wanachozungumza
 
Back
Top Bottom