Tamko la waislam wa Tanga

Upeo mdogo wa baadhi ya watu kwanza uta kushangaza kisha uta kukasirisha baada ya hapo uta kuchekesha. Nishaa shangaa sasa hivi nina hasira natumai siku nyingine niki soma taarifa kama hii nita ishia kuji chekea tu. My beloved home region you are disappointing me.
 
Wahamie somalia kama vipi.
Ingawa nimeipenda hiyo ya majimbo.
Hivi kuna mtu anawachukuliaga serious hawa watu kweli?
Phew!
 
...ati nini?? wanatuabisha hawa walevi wa kahawa na kashata vijiweni!!! that is all they can do!!! kusoma hawataki, wanajazana ujinga tuu!! Tembelea ofisi za serikali na hata za watu binafsi au nenda taasisi za elimu ya juu kama Eckenforde uangalie uwiano wa waislam na wakristo!!! hapa watasema nafasi zilikuwa za upendeleo??? ofisini kwangu hapa Tanga (ya serikali) tupo wafanyakazi 32 (waislam saba, wawili wao ni walinzi,watatu ni maafisa wa kati na wawili ni madereva)!!! sie tunakata shule wao wanasinzia misikitini!!! shauri yenu!!!
 
...ati nini?? wanatuabisha hawa walevi wa kahawa na kashata vijiweni!!! that is all they can do!!! kusoma hawataki, wanajazana ujinga tuu!! Tembelea ofisi za serikali na hata za watu binafsi au nenda taasisi za elimu ya juu kama Eckenforde uangalie uwiano wa waislam na wakristo!!! hapa watasema nafasi zilikuwa za upendeleo??? ofisini kwangu hapa Tanga (ya serikali) tupo wafanyakazi 32 (waislam saba, wawili wao ni walinzi,watatu ni maafisa wa kati na wawili ni madereva)!!! sie tunakata shule wao wanasinzia misikitini!!! shauri yenu!!!
mkuu mtu yoyote akisoma post yako atajua kuwa wewe ni mtu mwenye HEKIMA na msomi mzuri tu. naomba hapo kwenye red utoe ushauri au solution badala ya kusema shur yao.
 
Kuna mwandishi aliandika makala nzuri kwenye Raia Mwema wiki hii kuhusu mzee mmoja akiyekutana naye huko Scotland. Mzee huyo alimwambia kwamba tatizo letu sisi Wa-Afrika ni kukaa na kulalama juu ya ukoloni kama chimbuko la matatizo yetu. Anasema kama ni kutawaliwa hata India, Hong-Kong na penginepo walitawaliwa lakini waliachana na historia na kuangalia mbele ndio maana wamepiga hatua kubwa. Ndugu zangu wa Tanga wanalalama kwa kitu hata kama ni kweli lakini ni historia. Njia pekee ya kujikomboa ni kujipanga. Mwandishi mwingine Josephat Isango Jumapili hii alisema katika kata anayotoka kule Singida kuna zaidi ya misikiti 6 ikilinanishwa na kanisa moja tu!! Tafakari
 
Wameona Nigeria kuna ukanda wa Kaskazini unaofuata Sharia na sehemu nyingine ni Wakristo ndio wanataka kuiga, yani kwa akili zao kabisa wanaona tunaweza kuwapa mikoa fulani miwili mitatu ikawa ni ya Kiislamu tu. Jamaa wana nini vichwani?

Kwani nani alikuambia nchi hii ni ya kwenu? Au ndivyo mnavyofundishwa kanisani siku hizi? Usilete akili za mbege na kitimoto hapa!
 
Kuna tatizo kubwa sana, Jakaya atawajibika, sababu anakimbilia kutoa kauli ambazo haelewi
impact yake.

Hawa Waislamu wanatakiwa pia kutoa picha kamili waeleweke
1. Kwamba wakirsto wa tanzania hii sio serikali yao au vipi?
2. Kwa nini wasiombe ruzuku kama wanavyoomba wakirsto wenzao, au wameomba wakanyimwa.
3. Pia watoe tamko kwamba Waislamu wasijipeleke kwenye huduma zozote zinazotolewa na
taasisi ya kikirsto kama huduma za elimu na afya

Lakini pia serikali inatakiwa kujitokeza na kuwajibu watu hawa, matamko wanayoyatoa ni makubwa sana
yanahitaji majibu ili kuweka hali halisi sawa.
 
waislam wa tanga wameitaka serikali kufanya yafuatayo katika tamko lao la tarehe 3/4/2011(kuhusu mfumo wanaodai ni mfumo kristo)
1.iache kutekeleza mipango yake kutokana na matakwa na mashinikzo ya makanisa kupitia maaskofu na wachungaji wao
2.isitishe mara moja kugawa mabilioni ya shilingi kwa taasisi za kanisa pekee
3.baada ya kutekeleza hayo(1&2),waislam wa tanga kwa manufaa yetu sote tunaitaka serikali
i.itaifishe mali zote za kanisa iliyopatikana kwa njia isiyo stahiki yake,kwa maana ya zile zilizotokana na
ruzuku itokanayo na kodi zetu.Hilo lifuatiwe na kugawanywa kwa mali hizo kulingana na asilimia ya
kodi kila jamii ilivyotoa
ii.iwapo hilo(3i)ni gumu,tunaitaka serikali ipige hesabu ya kodi yote iliyowapatia wakristo na makanisa
yao kwa miaka yote tangu uhuru.
Thamani itakayopatikana igawanywe upya na waislam kupitia taasisi zetu tupate mgao utakaokuwa
stahiki yetu
4.Serikali iunde mfumo wa serikali za majimbo ili kila watu wajitawale kwa mujibu wa sheria zao,kama
tamko la dar es salaam lilivyosema
source:gazeti la kiislam la annur;8-14/4/2011


Nipo pamoja nao kwa hilo la kutaka utawala wa majimbo
 
Kuna mwandishi aliandika makala nzuri kwenye Raia Mwema wiki hii kuhusu mzee mmoja akiyekutana naye huko Scotland. Mzee huyo alimwambia kwamba tatizo letu sisi Wa-Afrika ni kukaa na kulalama juu ya ukoloni kama chimbuko la matatizo yetu. Anasema kama ni kutawaliwa hata India, Hong-Kong na penginepo walitawaliwa lakini waliachana na historia na kuangalia mbele ndio maana wamepiga hatua kubwa. Ndugu zangu wa Tanga wanalalama kwa kitu hata kama ni kweli lakini ni historia. Njia pekee ya kujikomboa ni kujipanga. Mwandishi mwingine Josephat Isango Jumapili hii alisema katika kata anayotoka kule Singida kuna zaidi ya misikiti 6 ikilinanishwa na kanisa moja tu!! Tafakari



Heshima kwako Bysel,

Mkuu hapo kwenye red naomba ufafanuzi kwasababu mwandishi Josephat Isango hajatoa picha kamili ya eneo husika hasa idadi ya wakristo na waisalamu ili kufikia hitimisho sahihi.Inawezekana waislamu wa eneo hilo ni wengi ndiyo maana idadi ya misikiti ni sita.Umesema kanisa ni moja yawezekana pia idadi ya wakristo ni ndogo ndiyo maana wana kanisa moja.
 
...ati nini?? wanatuabisha hawa walevi wa kahawa na kashata vijiweni!!! that is all they can do!!! kusoma hawataki, wanajazana ujinga tuu!! Tembelea ofisi za serikali na hata za watu binafsi au nenda taasisi za elimu ya juu kama Eckenforde uangalie uwiano wa waislam na wakristo!!! hapa watasema nafasi zilikuwa za upendeleo??? ofisini kwangu hapa Tanga (ya serikali) tupo wafanyakazi 32 (waislam saba, wawili wao ni walinzi,watatu ni maafisa wa kati na wawili ni madereva)!!! sie tunakata shule wao wanasinzia misikitini!!! shauri yenu!!!
Mimi naona kama mnahangaika tu,mwisilamu akisema ukweli juu ya makataba wa Mwl nyerere na Kanisa katoliki mwislamu anaonekana ni mjinga,mlevi wa kahawa,hajasoma,
ila ipo siku tu mjinga atanyoosha kidole akiwa ktk chupa,Tukubali tu kuwa sisi wakristo tulipewa huo upendeleo hata kama hatutaki uwe wazi kwa kila mtanzania,tambueni lisemwalo lipo na kama halipo laja,hii ni mala ya 10 naliona hili hapa Jf na watu mnalichukulia kwa utani lakini ipo siku mwisho wake utafika
Wana Jf hii nchi tunakoelekea ni ktk machafuko tu na ni mda si mrefu haya yatatokea pindi walewaliokandamizwa kwa mda mrefu watakapo sema sasa basi,

kwa upande wangu nachukuwa hizo hoja kwa uzito wa pekee kwani ni habari zipo na mala kwa mala zinazungumzwa mitaani

mungu bariki tz
 
after kuspend mda mrefu humu JF nazani nimepewa break ya lazima na hii thread, bt i'll be back.
 
Idiot, hela isingelipwa wangetibiwa wapi? Huduma zote za hospitali ni za kikristu,waache ujinga hawana pa kukimbilia wakiumwa kama sio kwa wakristu.
 
Mimi naona kama mnahangaika tu,mwisilamu akisema ukweli juu ya makataba wa Mwl nyerere na Kanisa katoliki mwislamu anaonekana ni mjinga,mlevi wa kahawa,hajasoma,
ila ipo siku tu mjinga atanyoosha kidole akiwa ktk chupa,Tukubali tu kuwa sisi wakristo tulipewa huo upendeleo hata kama hatutaki uwe wazi kwa kila mtanzania,tambueni lisemwalo lipo na kama halipo laja,hii ni mala ya 10 naliona hili hapa Jf na watu mnalichukulia kwa utani lakini ipo siku mwisho wake utafika
Wana Jf hii nchi tunakoelekea ni ktk machafuko tu na ni mda si mrefu haya yatatokea pindi walewaliokandamizwa kwa mda mrefu watakapo sema sasa basi,

kwa upande wangu nachukuwa hizo hoja kwa uzito wa pekee kwani ni habari zipo na mala kwa mala zinazungumzwa mitaani

mungu bariki tz
ww c mkiristo,,mm mkristo cjaona huo upendeleo unaosema,,,umeshakua shekhe yahya kwa kutabiri mabaya, ushindwe na ulegee,, labda muanze nyie kwa kujilipua,,,
 
Back
Top Bottom