MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Upeo mdogo wa baadhi ya watu kwanza uta kushangaza kisha uta kukasirisha baada ya hapo uta kuchekesha. Nishaa shangaa sasa hivi nina hasira natumai siku nyingine niki soma taarifa kama hii nita ishia kuji chekea tu. My beloved home region you are disappointing me.