Ila kwenye majukwaa ya siasa wananchi tulidanganywa ni Bure. Ila Mimi siku zote nikapinga nikasema tena ni ghali sana si Bure kwa sababu zufuatazo:Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais – TAMISEMI, David Silinde amesema serikali inatoa elimu bila ada sio elimu bure hivyo wazazi washiriki katika kutoa michango mbalimbali kwa ajili ya maendeleo ya shule...
🙄🙄🙄🙄🙄Haya una akili sn
Tuwapongeze Tamisemi ,na serikali ya JMT maana awamu hii imeamua kufanya kazi na kuacha siasa pembeniHaya una akili sn
Seen🙄🙄🙄🙄🙄
Mods washajiongeza rudi usomeUngesema wamejibuje?ili tujue kilichojibiwa!!
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais – TAMISEMI, David Silinde amesema serikali inatoa elimu bila ada sio elimu bure hivyo wazazi washiriki katika kutoa michango mbalimbali kwa ajili ya maendeleo ya shule.
Aidha Waziri wa Elimu, Joyce Ndalichako amesema waraka wa serikali namba 3 wa 2016 ulieleza ushirikishwaji wa wazazi katika maendeleo ya shule lakini shule hairuhusiwi kufukuza watoto kwa sababu ya michango ya maendeleo ya shule.
Majibu hayo yalikuja baada ya Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Aida Khenani ambaye alisema kwa sasa michango inaendelea ila kwa kibali maalumu cha kudai michango hiyo.