Tamasha la CDM-Makumira University

Tamasha la CDM-Makumira University

wANAuliza concern ya cdm juu ya katiba...wanasema kama kifungu cha 37 cha katiba kinamruhusu rais kukataa mapendekezo ya kamati ya katiba...msimamo wa cdm nini juu ya hilo?..wanayo altenative ya kuibuka na utatuzi wa hilo?

kwenye bold kama ndivyo, asiunde kabisa hiyo kamata, itavuja bure fedha zetu
 
Dr. W Slaa...kuna shida gani kuanzisha kituo cha TV au Redio inayomilikiwa na chama?...Tunaomba jibu lako!
 
Naona ITV wanarudia lile kongamano lilofanyika mlimani kama sikosei
 
There are currently 90 users browsing this thread. (36 members and 54 guests)
Wakuu..muulizeni huyu (ONLINE)mkuu kiongozi wetu juuYA KUANZISHA TV/REDIO YA CDM

ameshatoa jibu atapeleka mawazo kwenye kikao cha chadema even suala la kufungua acc youtube
 
Selous,
Asante. Nakushukuru kwa changamoto na hasa kwa kuanzisha mchango kwa lengo hilo. Kesho kuna kikao muhimu. Nitawasilisha wazo hili ambalo sasa limekuwa kilio cha wengi, ikiwa ni pamoja na Chadema kuwa na akaunti ya YOUTUBE. Nitawajulisha wapenzi wetu maamuzi ya kikao hicho ambayo iwa[po yatakubalika yatapaswa kupitishwa na Vikao vya maamuzi ambavyo navyo vinatarajiwa kukaa siku chache zijazo. Nakushukuru tena, na ninatoa mwito kwa wale wote ambao wangelipenda TV na Radio ya Chadema waendelee kutoa mawazo yao. Ukombozi uko kwenye kona na utalertwa na wenye moyo. Kuchangia jambo jema halihitaji utajiri wa mali bali zaidi wa moyo na uchungu kwa Taifa letu linaloangamizwa kwa spidi na kasi ya ajabu na mafisadi. Natanguliza shukrani za dhati kwa wanahadema na wapenzi wetu kwa ushauri wa mara kwa mara. Tunazingatia yote

Dr. W Slaa...kuna shida gani kuanzisha kituo cha TV au Redio inayomilikiwa na chama?...Tunaomba jibu lako!

jibu lipo hapo juu
 
Selous,
Asante. Nakushukuru kwa changamoto na hasa kwa kuanzisha mchango kwa lengo hilo. Kesho kuna kikao muhimu. Nitawasilisha wazo hili ambalo sasa limekuwa kilio cha wengi, ikiwa ni pamoja na Chadema kuwa na akaunti ya YOUTUBE. Nitawajulisha wapenzi wetu maamuzi ya kikao hicho ambayo iwa[po yatakubalika yatapaswa kupitishwa na Vikao vya maamuzi ambavyo navyo vinatarajiwa kukaa siku chache zijazo. Nakushukuru tena, na ninatoa mwito kwa wale wote ambao wangelipenda TV na Radio ya Chadema waendelee kutoa mawazo yao. Ukombozi uko kwenye kona na utalertwa na wenye moyo. Kuchangia jambo jema halihitaji utajiri wa mali bali zaidi wa moyo na uchungu kwa Taifa letu linaloangamizwa kwa spidi na kasi ya ajabu na mafisadi. Natanguliza shukrani za dhati kwa wanahadema na wapenzi wetu kwa ushauri wa mara kwa mara. Tunazingatia yote

Aksante Dr. Slaa kwa kuongoza harakati za kuikomboa nchi yetu kutoka mikononi mwa wakoloni weusi. Nami naunga mkono sana uanzishaji wa TV na Radio. Ni ukweli usifichika kwamba TV na Radio ni vyombo muhimu sana katika kufikisha ujumbe kwa watanzania wengi kwa wakati mmoja. Katika harakati zenu kama viongozi kuna mambo mengi mnayoongea ambayo watanzania kwa ujumla wao wangepata fursa ya kusikiliza, bila shaka, kazi ya ukombozi ingekuwa rahisi sana. Nashauri ianzishwe akaunti maalum ya kuchangia fedha kwa ajili ya uanzishaji wa TV na Radio. Mnaweza kuweka target kwamba ifikapo 2014 vituo vya TV na Radio viwe tayari vimeanza kurusha matangazo. Mimi binafsi nipo tayari kuchangia.

Tukifanikisha jambo hili muhimu na Mungu akitujalia uzima, kazi ya 2015 itakuwa rahisi sana.

Mungu aendelee kuwabariki viongozi wote wa cdm.
 
Kazi nzuri mwana mapinduzi wa kweli,endelea ku2juza yanayojili huko 2po pamoja kiongozi.
 
Wamejiandaa sana..hatakosa mtu kiongozi!

PJ nakufagilia mtu wangu kwa kujitolea muda wa kutuhabarisha sisi tulio mbali na Makumira. Kazi yako nzuri italipwa siku moja. Sasa mkuu, picha tu ndiyo tunakosa. Ukipata tafadhali ziweke humu ili hata mafisadi waliomo humu JF nao waone nguvu ya umma inavyofanya kazi.
 
Kwa ufupiwakuu ni kama Tamasha rasmi lishaisha, na kinachoendelea sasa ni kikao cha ndani, ambapo vijana wa Makumira hawataki kuwaachilia viongozi wa cdm waondoke pasipo kiu yao kukatwa...wanaendelea na maswali ndani ya ukumbi....
 
Pj gudii xana! Ndo 2natakiwa kuwa iv cku zote. Vp tujuze mambo makubwa yaliyozungumziwa!
 
Nami na Mwenzangu SaharaVoice ndio tunaelekea kunako mausafiri ili turudi Mjini Arusha kuendelea na wikiendi...Ha hahaaa!
 
Picha zitatumwa/uploaded leo leo na kamanda SAhara...msijali tuko kamili..
Tchao..
 
Nami na Mwenzangu SaharaVoice ndio tunaelekea kunako mausafiri ili turudi Mjini Arusha kuendelea na wikiendi...Ha hahaaa!

Mkuu mbane Gurudumu mwambie asitubanie wala asilete utani watu tupo serious....🙂
 
jaribu kuulizia ulizia kama kuna mwenye ile cd ya arusha uweze kuturisha online....., Nimeshaona bila jitihada zetu wenyewe hii cd haitapatikana

hilo nalo neno hata kama ni kuinunua tupo tayari.wapi nikugongee thankx
 
Back
Top Bottom