PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Wakuu,
Salaam.
Muda huu ninapoandika ni kwamba Makumira University kunaendelea tamasha kubwa sana la vijana wanachuo linalohus mwelekeo wa taifa letu na vijana.
Makamanda wa CDM waliopo ni Mwenyekiti taifa-Mbowe,
Mbunge Arusha mjini -G. Lema,
Mbunge wa viti maalum-Grace Kiwelu na wengine wengi.
Salaam.
Muda huu ninapoandika ni kwamba Makumira University kunaendelea tamasha kubwa sana la vijana wanachuo linalohus mwelekeo wa taifa letu na vijana.
Makamanda wa CDM waliopo ni Mwenyekiti taifa-Mbowe,
Mbunge Arusha mjini -G. Lema,
Mbunge wa viti maalum-Grace Kiwelu na wengine wengi.