Juaangavu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2009
- 935
- 132
<br />Ile ya kipindi kile ilikuwa inaitwa operesheni SANGARA sasa sijui hii tuiiteje maana ni balaa
<br />
Hii itaitwa operation pumua; kwani hicho kitendo kinasimama tu pindi uhai unapomtoka mtu, na ndo hasa linalohitajika ktk kuikomboa Tz yetu. Muda si mrefu hata hawa polisi watajiunga na wapigania haki, kwani ugumu wa maisha hauchagui kuwa wewe ni wa ccm au ni mtumwa wa ccm au la!
Polisi wa Tunisia wameliona hilo na hivi sasa wanshirikiana na wananchi kumshughulikia mchawi wao.