Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 7,814
- 10,834
Hamna kitu kama hicho ndugu, au unamtetea ndugu yako, mistake imetoka wapi kwenye mambo muhimu kama haya, utatoaje jina bila kufanya verification ya kutosha , huu ni uhuni wengi tumehujumiwa kwa namna moja au nyingine, au una undugu na Jamaa aliyenunua nafasi ya mdauSi utumishi wenyewe wamejibu kuwa ni mistake. Sasa mtoa mada analazimisha tuone kuwa rushwa imehusika.
Rushwa haijahusika hapa, wala undugu haujahusika