Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,417
- 7,609
Mwendazake alikuwa na mazuri yake.Miaka ile ya mwendazake huu upuuzi haukuwepo.
Hiyo hela mnayopoteza mpeni dogo afanye ujasiriamali.
Zaidi ya hayo andika tu maumivu songa mbele.
Mwendazake alikuwa na mazuri yake.Miaka ile ya mwendazake huu upuuzi haukuwepo.
Hiyo hela mnayopoteza mpeni dogo afanye ujasiriamali.
Zaidi ya hayo andika tu maumivu songa mbele.
Inaweza kutokea lakini haiwezekani.
Inabidi atafute kazi nyingine, PR yake amekwisha iharibu kwa kuweka kila kitu JF.
Lakini pia atueleze kwanini anang'ang'ania sana hiyo nafasi kiasi cha kufanya hadi Waziri asiyefahamu yaliyo chini huko kumsumbua sumbua kwa simu?
[/QUOTEYes nimeona jina lake Mimi mwenyewe now! Tukubaliane kupaza sauti siyo kuzalisha watu ila ni kutaka ufafanuzi.Na wale walio mtisha dogo kifo c vizr
Jf iishi daimaMungu ni mwema kesi ya dogo imeisha
Mkuu angalia hiyo taarifa isijekuwa fake, jiridhishe kwanzaÑAOMBA MODERATOR FUTA UZI HUU MARA MOJA! Jamii forum ni kubwa
Tayari kapangiwa leoUsikate tamaa, Nafasi ni yako au wakupeleke sehemu nyingine. Ila mchengerwa na yeye kazingua Ina maana yeye kama waziri kashindwa ku solve Hilo tatizo inaonyesha kukosa seriousness Hadi walio chini yake hawamweshimu.
Nimeangalia mkuuMkuu angalia hiyo taarifa isijekuwa fake, jiridhishe kwanza
Kitendo cha kumtaja Waziri sio kitu kidogo. Ameona sasa anachafukaHata mie nimeliona jina lake.......huu ndio ukubwa wa Jamii Forum makelele ya wadau humu ndani yamesaidia...kapige kazi kijana
Kwani kakosea nn wazr c kiongozi wa umma tuuKitendo cha kumtaja Waziri sio kitu kidogo. Ameona sasa anachafuka
JF kubwa , ungekaa kimya wangekuchinjia baharini, na kumbuka data base inaexpire date ni Bora umepigania mapema kabla jina lako alijafutwa kwenye data base.Kwani kakosea nn wazr c kiongozi wa umma tuu
Mke wake ni mtoto wa nani??!!!!!!!!!, mpumbavu mkubwa wewe...!!! So what??!!!Mchengerwa ambaye ni waziri ungelijua mke wake ni mtoto wa nani ungeachana na hii mada mkuu.
Ifutwe kwanini??!!! Kwani wameshakupa ajira yako??!! Haiwezekani, hakuna kufuta hadi wakuoe ajira yako!!!ÑAOMBA MODERATOR FUTA UZI HUU MARA MOJA! Jamii forum ni kubwa
Kwanini? Toa maelezo.Nafunga mjadala huu ! Please moderator remove this
Hakuna kufuta hadi tupate udhibitisho kwanza!Mkuu angalia hiyo taarifa isijekuwa fake, jiridhishe kwanza
Nimeliona jina lake sasa hivi . kuna memba katupia humu na Mimi nimecofirm piaIfutwe kwanini??!!! Kwani wameshakupa ajira yako??!! Haiwezekani, hakuna kufuta hadi wakuoe ajira yako!!!