Tahadhari kwa waumini wa Gwajima

Tahadhari kwa waumini wa Gwajima

NAMPONGEZA KWA KUSIMAMIA KILE ANACHOKIAMINI "UKWELI" watu watu lazima muelewe kua kuna muda maslahi ya taifa lazima yawekwe mbele... we ukiona nduguyo anaangamia umuache kisa eti kulinda heshima... mada hii ni upotoshaji wa dhahili kabisa...
 
Gwajima aliwarekodi watu aliokuwa anaenda kuwapa ushauri wa kiroho.
Halafu anatangaza ushauri huo na matatizo yao hadharani.
Ole wako...ukimwambia siri zako utajuta.

kweli kabisa mkuu lazima ujute, yaani anaku record kwanza kuwa na ushahidi
 
kiongozi wa dini sio wa kulipiza kisasi...gwajima wala hafai kuwa kiongozi wa dini... yupo kimaslahi zaidi...
nilidhani alivyomtukana Pengo alipitiwa tu kumbe sasa ndio tabia yake...
watu wake lazima wawe macho kuingozwa na kiongozi kama huyu

Ni rahisi kwa hekima ya viroba kudhihaki watumishi wa Mungu kama ufanyavyo lkn nikuombe wewe unaefaa kusanya waumini watano tu na uwachunge kwa miezi mitatu tu uone kazi yake punguza mdomo utajizolea laana.
 
Alichofanya Gwanjima leo ni kudhihirisha jinsi gani dini imekuwaikitumika kuwainua watu kisiasa. inasikitisha sana. Gwajima ameharibuu!!!
 
Leo gwajima munamuona mmbaya kisa kaweka wazi na katoa ukweli juuu ya swala Zima la dr. Slaaaa wananchi tumepata ukweli hivyo basi hatudanganyiki lowasa ni chaguo letu ccm pitting hivi....... Alaaaaa
 
Tunamuamini na tunamuheshimu gwajima.

Pigs magoti sana usali ndugu yangu! Biblia imesema kuweni chonjo siku za mwisho maana manabii wa uongo watakuwa wengi na watakuja kwa jina la Bwana! Sitaki kumhukumu Gwajima ila matendo yake yanatia shaka
 
Nasubiri siku lowassa akikosana na gwajima sipati picha, maana lowassa naye atakuwa amemwamini gwajima na kumpa siri nyingi tu.
Gwajima kama yeye ni mtumishi wa mungu alishindwa kuombea hayo mapepo yamtoke mama?
Biblia inasema usilipe kisasi maana kisasi ni juu ya bwana gwajima hapa kasimamia wapi?
Alitakiwa kumuombea huyu mzee kutokana na yale yanayomsumbua, tatizo kajiingiza kwenye siasa ili apate kiwanja cha tanganyika packers endapo lowassa atashinda.
 
Huo ni chui katika ngozi ya kondoo.

Wachungaji kama huyo ndiyo hupelekea jamii kumwaga damu, serikali imtazame kwa mapana na marefu, huyo ni mtu hatari sana katika jamii.
 
Sijakuamulia mkuu!
Nimetoa tahadhari...kama wewe ulishamjua ni msanii siku nyingi wengine hawamjui na wana haki ya kutahadharishwa.

Jiadhari wewe na mchumbawako sio sisi kiujumla.alianza mshumbusi kamaliza yeye sasa unatutaadharisha nini humu?
 
Bahati nzuri Dr Slaa ni mtumishi wa Mungu kwa cheo cha upadri na ni mtu anayejua nini maana ya siri na nini maana ya kutunza siri.

Gwajima naye ni mtumishi wa Mungu mwenye cheo cha uasikofu kama ilivyo kwa Dr slaa naye ana jua siri ni nini na namna ya kutunza siri.

Kwa pamoja wote ni watumishi wa Mungu wanaopaswa kutunziana siri pamoja na siri za watu wengine.

Kama kuna mtumishi mmoja kaamuwa kumwaga ugali hadharani,mwenzake kajibu kwa kumwaga mboga hadharani,huyu mtumishi wa pili aliyejibu kwa kumwaga mboga hadharani ana laumiwa kwa kosa gani?.

Dr. Silaa keshastaafu uchungaji siku nyingi.
Sio Padri tena na wala hatoi huduma yoyote ya kiroho katika kanisa lolote kama padri. Ndio maana Silaa akaoa (mapadri hawaoi).

Mch. Gwajima bado ni mchungaji mwenye maelfu ya waumini katika kanisa lake la ufufuo na uzima.
Hivyo Mch. Gwajima anabanwa sana na misingi ya kichungaji na huduma za kiroho.

Mtu akimwaga ugali mchungaji hawamwagi mboga, pilipili, ndimu, chumvi na maji ya kunawa.

Rejea majibu ya staha aliyotoa Askofu Pengo baada ya kurushiwa "maharage ya wapi". Kumbuka kauli za hadhari za Askofu Niwemugizi baada ya Silaa kufyatuka na tuhuma zake.
 
Bahati nzuri Dr Slaa ni mtumishi wa Mungu kwa cheo cha upadri na ni mtu anayejua nini maana ya siri na nini maana ya kutunza siri.

Gwajima naye ni mtumishi wa Mungu mwenye cheo cha uasikofu kama ilivyo kwa Dr slaa naye ana jua siri ni nini na namna ya kutunza siri.

Kwa pamoja wote ni watumishi wa Mungu wanaopaswa kutunziana siri pamoja na siri za watu wengine.

Kama kuna mtumishi mmoja kaamuwa kumwaga ugali hadharani,mwenzake kajibu kwa kumwaga mboga hadharani,huyu mtumishi wa pili aliyejibu kwa kumwaga mboga hadharani ana laumiwa kwa kosa gani?.

Hawa mafisadi wa kiroho wanafikiri sisi ni watanzania wale wa zamani,tumebadilika hadi kanisani wanafikiriakua tunataka madiliko kisiasatu?PADRI kaanza ASKOF kamalizia hakuna namna.
 
Huyu mhuni namchukia kuliko mtu yeyote na sijawahi kumkubali zaidi ya kumuona mpigaji tu ..alivunja ndoa ya kijana mwenzetu na sahivi bado hana haya anasimama mbele ya madhabau, sijuhi hii ni aina gani ya Utumishi kwa mungu ..jamaa ni poisonous kuliko king cobra na hafai hats kumkaribisha kwako make hajuhi mipaka ya maongezi, ni mpayukaji sana.

Kwahiyo yule PADRI haukumuona kama ni mpayukaji?
 
Gwajima hadi kwenye kamati kuu ya CHADEMA aliingia,hili ni balaaa nchi yetu wallah inaenda wekwa reahani.MUNGU saidia Magufuli ashinde

Na hatashinda hata ukiongeza na kura ya mabashawako.
 
Si busara kuzumzia maisha ya ndoa ya mtu, ni mambo mapana na kila mmoja yanamsibu ila yanatofautiana.

Nani anandoa hapo?Babu silaa au?kwahiyo unatakakutuaminisha kua JOSEFIN ni mwanandoa wa SILAA?
 
Back
Top Bottom