Tahadhari kwa waumini wa Gwajima

Tahadhari kwa waumini wa Gwajima

Huwezi kusema hadharani siri za maisha binafsi ya mtu kama umeaminiwa. Gwajima anajiita au kujitangaza kwamba ni askofu,Dr akamwamini kwa kumtaka ushauri(kama ni kweli) kwa mambo ya ndani sana ya familia,lakini Gwajima ametumia nafasi hiyo kushambulia familia ya Dr Slaa. Mapovu yamemtoka kujibu hoja za kisiasa kuweka wazi mazungumzo ya siri(kama yalikuwepo). Hili si sahihi. Kama aliyozungumza kuhusu Dr Slaa ni ya kweli,Gwajima amekiuka wajibu wake kama kiongozi wa dini.Haaminiki,hana kifua cha kubeba siri za watu. Dr Slaa huwa anakija na nondo nzito za serikali,lakini sikuwahi kumsikia akitaja vyanzo vya taarifa zake. Dr ni Padre wa Kanisa Katoliki,amefundishwa kutunza siri za watu,hata kutoa maisha yake.

Katika watu wanaoaminika sana katika jamii ni watumishi wa Mungu (ingawa wapo wasioaminika). Huyu ni mmoja wao na anakosa imani zetu. Kwa hali hiyo, na kwa kuwa kajipambanua pia ni mwana siasa, akiipigia debe UKAWA, ni dhahiri fikra za viongozi wake ni kama zake. Siwaamini
 
Ni muda mrefu jamii yetu imekuwa ikiwaheshimu na kuwaamini viongozi wa dini katika masuala mbalimbali ya kiroho na ustawi wa familia.

Ni jambo la kawaida sana kwa waumini wa dini zote kupeleka matatizo yao mbalimbali ya kifamilia kwa viongozi wa dini.

Ni dhahiri kwamba wengi wetu hupeleka masuala mbalimbali hata yale ya unyumba na siri nzito nzito za chumbani na familia kwa ujumla kwa kuwa tuna imani viongozi wa dini wana hulka ya kutunza siri na kusaidia kutatua matatizo yetu ya kiroho au kifamilia.

Hii ni tofauti kwa Gwajima ambaye ni mtomvu wa heshima ya kiongozi wa dini kwa kueleza siri za familia aliyoipa huduma za kiroho kisa tu kachokozwa kisiasa na yeye kajibu kwa kutoa siri za familia ya Slaa.

Angekuwa daktari angeweza kufutiwa cheti na kudaiwa fidia.

Lakini tukumbuke ni Gwajima huyu huyu aliyeshutumiwa kuvuruga ndoa ya Mbasha badala ya kutatua mgogoro wa familia hiyo.

Hii ni trend ya Gwajima anayejiita Bishop ambayo inatakiwa kuangaliwa kwa jicho la Tahadhari hasa hasa na waumini wake wanaompelekea siri za ndani.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANI!!


Naona sindano imefika mahali pake, sasa tulia tu dawa iingie yote
 
Ni muda mrefu jamii yetu imekuwa ikiwaheshimu na kuwaamini viongozi wa dini katika masuala mbalimbali ya kiroho na ustawi wa familia.

Ni jambo la kawaida sana kwa waumini wa dini zote kupeleka matatizo yao mbalimbali ya kifamilia kwa viongozi wa dini.

Ni dhahiri kwamba wengi wetu hupeleka masuala mbalimbali hata yale ya unyumba na siri nzito nzito za chumbani na familia kwa ujumla kwa kuwa tuna imani viongozi wa dini wana hulka ya kutunza siri na kusaidia kutatua matatizo yetu ya kiroho au kifamilia.

Hii ni tofauti kwa Gwajima ambaye ni mtomvu wa heshima ya kiongozi wa dini kwa kueleza siri za familia aliyoipa huduma za kiroho kisa tu kachokozwa kisiasa na yeye kajibu kwa kutoa siri za familia ya Slaa.

Angekuwa daktari angeweza kufutiwa cheti na kudaiwa fidia.

Lakini tukumbuke ni Gwajima huyu huyu aliyeshutumiwa kuvuruga ndoa ya Mbasha badala ya kutatua mgogoro wa familia hiyo.

Hii ni trend ya Gwajima anayejiita Bishop ambayo inatakiwa kuangaliwa kwa jicho la Tahadhari hasa hasa na waumini wake wanaompelekea siri za ndani.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANI!!

post zako ni za kijingajinga kama jina lako.
 
Ni muda mrefu jamii yetu imekuwa ikiwaheshimu na kuwaamini viongozi wa dini katika masuala mbalimbali ya kiroho na ustawi wa familia.

Ni jambo la kawaida sana kwa waumini wa dini zote kupeleka matatizo yao mbalimbali ya kifamilia kwa viongozi wa dini.

Ni dhahiri kwamba wengi wetu hupeleka masuala mbalimbali hata yale ya unyumba na siri nzito nzito za chumbani na familia kwa ujumla kwa kuwa tuna imani viongozi wa dini wana hulka ya kutunza siri na kusaidia kutatua matatizo yetu ya kiroho au kifamilia.

Hii ni tofauti kwa Gwajima ambaye ni mtomvu wa heshima ya kiongozi wa dini kwa kueleza siri za familia aliyoipa huduma za kiroho kisa tu kachokozwa kisiasa na yeye kajibu kwa kutoa siri za familia ya Slaa.

Angekuwa daktari angeweza kufutiwa cheti na kudaiwa fidia.

Lakini tukumbuke ni Gwajima huyu huyu aliyeshutumiwa kuvuruga ndoa ya Mbasha badala ya kutatua mgogoro wa familia hiyo.

Hii ni trend ya Gwajima anayejiita Bishop ambayo inatakiwa kuangaliwa kwa jicho la Tahadhari hasa hasa na waumini wake wanaompelekea siri za ndani.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANI!!

Ila bwana BIshop kajibu Mashambulizi kwani kakosea nini??
 
Hivi hata ukibadili dini Askofu anatoka hadharani kuja kumwaga siri zako?

Ni nani aliyehama na akaanikwa? Au kuna shida ubongoni kwako huyu silaha kaanza kumdhihaki Askofu na labda nikuulize wewe kama sio wa kuzimu yaani akisemwa vibaya mtumishi wa kwako ni furaha ila akisemwa silahaa imekuuma sana, upigwe kwa jina la Yesu.
 
huyo gwajima ninamashaka naye kama kwel ni mtanzania.sifa ya watanzania ni ukarimu.lakin yy kavunja ndoa za watu,kagombana na viongoz wa din na sasa anachonganisha kwenye siasa. huyu jamaa tumwogope kama ukoma.huo uaskofu atakuwa kajipa mwenyewe maana hana sifa ya kuwa bishop.
 
Gwajima yupo sahihi kabisaaaaa kwa aliyoyasema leo.

Tangu Gwajima aanze huduma yake mwanzoni mwa miaka ya 90 hii ni mala yake ya kwanza kutaja tatizo la mtu aliyeenda kwake kwa huduma ya maombezi.

BILA SHAKA HILI KALIFANYA KWA MASLAHI MAPANA YA TAIFA.
NI SAWA TU NA DAKTARI KUWAAMBIA WATANZANIA MGOMBEA FULANI (AMBAYE NI MTEJA WAKE NA KAFANYA KITUKO HADHARANI) KUWA ANA TATIZO LA AKILI.

Inabidi Watu waelewe kwamba japo Daktari anaapa kutunza siri za wagonjwa wake, kuna wakati analazimika hata kusimama hadharani au hata nahakamani kuongelea hali za wagonjwa wake kwa maslahi mapana ya taifa au sheria.
 
Hii ni hatari Sana... ingekuwa daktari angefutiwa usajili na kunyang'anywa leseni, angekuwa Padre basi leo angepaswa kurudisha Mali zote za kanisa kwa askofu wake....Nawaonea huruma Sana followers wake
 
He basically gave him a taste of his own medicine. If he had shut his mouth and not attack him personally then it he would never has responded like that. What did you want him to do? To shut while they had lied about him? Come on?.

Why did he call him mshenga? That was a very big insult it. It was done not once but twice, this was very unfair and as a human being patient has a limit. Remember he is a merely a human being and not GOD. Even God patience has limit that's why he send people to hell despite that he is a merciful GOD
Slaa katika utumishi wake kanisani amepata mengi lakini hakuna hata siku moja aliyowahi kutumia anayoyajua kama padre katika mimbari za kisiasa.
 
He basically gave him a taste of his own medicine. If he had shut his mouth and not attack him personally then it he would never has responded like that. What did you want him to do? To shut while they had lied about him? Come on?.

Why did he call him mshenga? That was a very big insult it. It was done not once but twice, this was very unfair and as a human being patient has a limit. Remember he is a merely a human being and not GOD. Even God patience has limit that's why he sendm






bu....bu but mshenga is not even an insult it like a go between,a middleman,and that is excatly ngwajima was doing in this deal of getting lowasa to decamp...
 
Tunamuamini na tunamuheshimu gwajima.
ndio maana mkapa kakuiteni wapumbavu na malofa. macho mnayo hamuoni, masikio mnayo hamsikii, tatizo akili mgando au ni kufuata malisho! mtu unawezaje kumuamini gwajima kama mchungaji au askofu wa kanisa. kama ni kiongozi wa kiroho labda ni mganga wa kienyeji.
 
Kwani huduma aloyokua anampa Dr Slaa ya kumpa walinzi na mpishi ilikua ya kiroho?
 
huyo gwajima ninamashaka naye kama kwel ni mtanzania.sifa ya watanzania ni ukarimu.lakin yy kavunja ndoa za watu,kagombana na viongoz wa din na sasa anachonganisha kwenye siasa. huyu jamaa tumwogope kama ukoma.huo uaskofu atakuwa kajipa mwenyewe maana hana sifa ya kuwa bishop.

Mnaummiza vichwa na mihuni ya mjini! Huyo gwajima nani asiye mjua
 
He basically gave him a taste of his own medicine. If he had shut his mouth and not attack him personally then it he would never has responded like that. What did you want him to do? To shut while they had lied about him? Come on?.

Why did he call him mshenga? That was a very big insult it. It was done not once but twice, this was very unfair and as a human being patient has a limit. Remember he is a merely a human being and not GOD. Even God patience has limit that's why he send people to hell despite that he is a merciful GOD.

unafikiri bishop alifata nini kwenye kikao cha kamati kuu cha chama cha siasa?
 
Back
Top Bottom