Pigs magoti sana usali ndugu yangu! Biblia imesema kuweni chonjo siku za mwisho maana manabii wa uongo watakuwa wengi na watakuja kwa jina la Bwana! Sitaki kumhukumu Gwajima ila matendo yake yanatia shaka
Gwajima kapotea.Kwa jinsi nilivyoona, anaweza hata ku-blackmail waumini wake! SIO WA KUMUAMINI HATA KIDOGO.
Ni nani aliyehama na akaanikwa? Au kuna shida ubongoni kwako huyu silaha kaanza kumdhihaki Askofu na labda nikuulize wewe kama sio wa kuzimu yaani akisemwa vibaya mtumishi wa kwako ni furaha ila akisemwa silahaa imekuuma sana, upigwe kwa jina la Yesu.
Gwajima namkubali
Nasubiri siku lowassa akikosana na gwajima sipati picha, maana lowassa naye atakuwa amemwamini gwajima na kumpa siri nyingi tu.
Gwajima kama yeye ni mtumishi wa mungu alishindwa kuombea hayo mapepo yamtoke mama?
Biblia inasema usilipe kisasi maana kisasi ni juu ya bwana gwajima hapa kasimamia wapi?
Alitakiwa kumuombea huyu mzee kutokana na yale yanayomsumbua, tatizo kajiingiza kwenye siasa ili apate kiwanja cha tanganyika packers endapo lowassa atashinda.
Ya kaisali mpe kaisali na ya mungu mpe mungu mbona hata slaa nae ni padli lakini kamchafua mwenzie msiangalie upande mmoja.sababu yeye slaa kaja kimwili nae kajibiwa kimwili .no. koment