Tahadhari kwa waumini wa Gwajima

Tahadhari kwa waumini wa Gwajima

Lakini sis watanzania niwaajabu sana sana aliongea dr watu wakase aje ajibu kajib watu nimtu waajabu. Jamani watanzania sisi tumeumbwaje. Angekaa kimya wangesa aliyokuwa anazushiwa nikweli. Mim binafs nadhani pale kaenda kama gwajima kujibu tuhuma zake juu ya aliyosema dr. Sio kama pastor.
Angejibu yale aliyoyasema Slaa bila kuweka vikorombwezo vya kumrekodi mteja wake josephine nisingeleta thread!
 
Ni muda mrefu jamii yetu imekuwa ikiwaheshimu na kuwaamini viongozi wa dini katika masuala mbalimbali ya kiroho na ustawi wa familia.

Ni jambo la kawaida sana kwa waumini wa dini zote kupeleka matatizo yao mbalimbali ya kifamilia kwa viongozi wa dini.

Ni dhahiri kwamba wengi wetu hupeleka masuala mbalimbali hata yale ya unyumba na siri nzito nzito za chumbani na familia kwa ujumla kwa kuwa tuna imani viongozi wa dini wana hulka ya kutunza siri na kusaidia kutatua matatizo yetu ya kiroho au kifamilia.

Hii ni tofauti kwa Gwajima ambaye ni mtomvu wa heshima ya kiongozi wa dini kwa kueleza siri za familia aliyoipa huduma za kiroho kisa tu kachokozwa kisiasa na yeye kajibu kwa kutoa siri za familia ya Slaa.

Angekuwa daktari angeweza kufutiwa cheti na kudaiwa fidia.

Lakini tukumbuke ni Gwajima huyu huyu aliyeshutumiwa kuvuruga ndoa ya Mbasha badala ya kutatua mgogoro wa familia hiyo.

Hii ni trend ya Gwajima anayejiita Bishop ambayo inatakiwa kuangaliwa kwa jicho la Tahadhari hasa hasa na waumini wake wanaompelekea siri za ndani.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANI!!

Ibada ya jumapili huwepo waumini zaidi ya elfu 70. (kuna viti vya kukalia elfu 70 vyote hutumika juma2 na wengine huvikosa)

Juma2 ya 25/Okt/ 2015 ibada inaweza ahirishwa (kama Ask. Kakobe) alivyofanya mwaka 2010. Kaa chonjo,,Saa mbaya!!
 
Angejibu yale aliyoyasema Slaa bila kuweka vikorombwezo vya kumrekodi mteja wake josephine nisingeleta thread!

Hata Dr.Mihogo alitoa hadharani mambo ambayo alisema ameambiwa na rafiki yake Gwajima yani ni mambo ya watu wawili mtu na rafikiye. Kwaiyo Gwajima amemfanyia hayohayo maujinga yeye aliyoanzisha.
 
Angejibu yale aliyoyasema Slaa bila kuweka vikorombwezo vya kumrekodi mteja wake josephine nisingeleta thread!

Sawa mkuu lakini mimi tatizo kubwa la nchi yetu nikuweka ushabiki wa siasa kwenye kila kitu. Kunabaadhi ya taasisi hazifai kuingizwa kabsaa kwenye siasa. Haya yote yanatokea pia kutokana na freedom of speach. Napia inatokana na wana siasa kuwalubuni baadhi ya viongozi wetu wajuu. Eeee mungu tulinde nakutuongoza wanao.
 
Hata Dr.Mihogo alitoa hadharani mambo ambayo alisema ameambiwa na rafiki yake Gwajima yani ni mambo ya watu wawili mtu na rafikiye. Kwaiyo Gwajima amemfanyia hayohayo maujinga yeye aliyoanzisha.

Na wewe unaona sawa kwa kiongozi wa dini kujibu tusi kwa tusi?
 
ngwajima si ni askofu....?,kwanini agombane na waumini wake kwa mambo ya kisiasa....


au pengine hakuwa hata mtumishi wa yesu,ilikua ni katika utafutaji pesa tu....

Dr slaaa si ni padre kwanini awaponde maaskofu ambao kimsingi ni walezi wake wa kiroho kwa mambo ya kisiasa
 
Huyu jamaa Leo nmemshusha vyeoooo

Vyeo gani umemshusha? Ukawa watampa vyeo vyote, swali kwako hivi wewe ulitaka Gwajima akae kiimya wakati kachafuliwa na Slaa? Ulitaka uongo wa Slaa uaminike?
 
Gwajima kapigilia msumari penyewe naona watu damu zimeanza kuwatoka. Poleni sana kiwanda cha uongo
 
kiongozi wa dini sio wa kulipiza kisasi...gwajima wala hafai kuwa kiongozi wa dini... yupo kimaslahi zaidi...
nilidhani alivyomtukana Pengo alipitiwa tu kumbe sasa ndio tabia yake...
watu wake lazima wawe macho kuingozwa na kiongozi kama huyu[/QUOTE

Hakuna mwenye hati miliki ya kumchafua mwingine mbele ya media Gwajima alitajwa hadharani watanzania tukasikia hivyo wapo walio muelewa vibaya Gwajima hivyo angekaa kimya huoni kama hata uongo ungeonekana UKWELI? Katika jambo hili tutende haki. Mbona watu wengi humu walimpongeza Dr . mihogo bila kusikia upande wa pili?
 
Ni muda mrefu jamii yetu imekuwa ikiwaheshimu na kuwaamini viongozi wa dini katika masuala mbalimbali ya kiroho na ustawi wa familia.

Ni jambo la kawaida sana kwa waumini wa dini zote kupeleka matatizo yao mbalimbali ya kifamilia kwa viongozi wa dini.

Ni dhahiri kwamba wengi wetu hupeleka masuala mbalimbali hata yale ya unyumba na siri nzito nzito za chumbani na familia kwa ujumla kwa kuwa tuna imani viongozi wa dini wana hulka ya kutunza siri na kusaidia kutatua matatizo yetu ya kiroho au kifamilia.

Hii ni tofauti kwa Gwajima ambaye ni mtomvu wa heshima ya kiongozi wa dini kwa kueleza siri za familia aliyoipa huduma za kiroho kisa tu kachokozwa kisiasa na yeye kajibu kwa kutoa siri za familia ya Slaa.

Angekuwa daktari angeweza kufutiwa cheti na kudaiwa fidia.

Lakini tukumbuke ni Gwajima huyu huyu aliyeshutumiwa kuvuruga ndoa ya Mbasha badala ya kutatua mgogoro wa familia hiyo.

Hii ni trend ya Gwajima anayejiita Bishop ambayo inatakiwa kuangaliwa kwa jicho la Tahadhari hasa hasa na waumini wake wanaompelekea siri za ndani.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANI!!

Dr Slaa alikosea sana hesabu zake alipomshambulia Gwajima kupitia vyombo vya habari na hatimae umma wote kuchanganywa na shambulio hilo.

Ili kuweka sawa jambo kama hilo imebidi (kwa yeye Mchungaji Gwajima) kujibu mapigo lakini yakiwa ni mapigo ya kuonya kwamba Dr Slaa asiruie tena.

Na Gwajima amesema, amejiandaa ya shambulizi jingine ikiwa Dr Slaa ataagizwa tena na hao watu wake kuongeza ujinga.
 
Back
Top Bottom