Tahadhari kwa waumini wa Gwajima

Tahadhari kwa waumini wa Gwajima

Gwajiama aliyasema hayo alipokuwa akiongea na waumin wake pamoja na wana habari
 
ndio maana mkapa kakuiteni wapumbavu na malofa. macho mnayo hamuoni, masikio mnayo hamsikii, tatizo akili mgando au ni kufuata malisho! mtu unawezaje kumuamini gwajima kama mchungaji au askofu wa kanisa. kama ni kiongozi wa kiroho labda ni mganga wa kienyeji.

Panic ndio humuongoza mtu kutukana. Ndio akili zetu, tuvumilie. Mbona hapo awali tuliweza kumuamini mtu atuongoze ilhali hajui umaskini wetu unaletwa na nini
 
Kwanza yeye sio kiongozi wa dini uelewe hivyo. Pili amemuelezea mtu alivyo na sio siri. Unajua siri wewe? Mkuki kwa nguruwe, uzuri slaa alimpaisha sana lowasa bora angejikalia kimya kama prof. Aibu yake, na uzuri waliomtuma wamefyata mkia hawathubutu tena kumtuma, mzigo utajulikana
 
He basically gave him a taste of his own medicine. If he had shut his mouth and not attack him personally then it he would never has responded like that. What did you want him to do? To shut while they had lied about him? Come on?.

Why did he call him mshenga? That was a very big insult it. It was done not once but twice, this was very unfair and as a human being patient has a limit. Remember he is a merely a human being and not GOD. Even God patience has limit that's why he send people to hell despite that he is a merciful GOD.
Hata Gujima Ana roho ya nyama sio ya chuma.
 
Mimi siasa naweka pembeni na nikirudi kwa upande was dini yetu huku mtumishi was Mungu haruhusiwi kutuoa siri au matatizo ya muumini hadharani hats kama wametofautiana, turejee kwa Bishop Gwajima huyu huyu kipindi kile amemkashfu Kadinali Pengo, Kadinali hakujibu mapigo zaidivya kuwaomba waumini wake wamsamehe na kumwombea Gwajima. In short SIJAFURAHISHWA WALA KUPENDEZWA na aliyoyasema LEO
 
Mkuki kwa nguruwe. ....aliyeanza kumchafua mwenzake nani?

Mleta uzi kajaa unafiki anajifanya Padri Mihogo ndio anaruhusiwa kumwaga siri za watu wengine,zake zisitiliwe! jino kwa jino,heshimu majira
 
Mimi siasa naweka pembeni na nikirudi kwa upande was dini yetu huku mtumishi was Mungu haruhusiwi kutuoa siri au matatizo ya muumini hadharani hats kama wametofautiana, turejee kwa Bishop Gwajima huyu huyu kipindi kile amemkashfu Kadinali Pengo, Kadinali hakujibu mapigo zaidivya kuwaomba waumini wake wamsamehe na kumwombea Gwajima. In short SIJAFURAHISHWA WALA KUPENDEZWA na aliyoyasema LEO

Huu unafiki! au double standard, ulipendezewa na aliyoyafanya Padri Mihogo na kupewa media coverage kubwa namna ile mpaka tv ya Taifa isiyowapa opposition nafasi kabisa?!!
 
Ni muda mrefu jamii yetu imekuwa ikiwaheshimu na kuwaamini viongozi wa dini katika masuala mbalimbali ya kiroho na ustawi wa familia.

Ni jambo la kawaida sana kwa waumini wa dini zote kupeleka matatizo yao mbalimbali ya kifamilia kwa viongozi wa dini.

Ni dhahiri kwamba wengi wetu hupeleka masuala mbalimbali hata yale ya unyumba na siri nzito nzito za chumbani na familia kwa ujumla kwa kuwa tuna imani viongozi wa dini wana hulka ya kutunza siri na kusaidia kutatua matatizo yetu ya kiroho au kifamilia.

Hii ni tofauti kwa Gwajima ambaye ni mtomvu wa heshima ya kiongozi wa dini kwa kueleza siri za familia aliyoipa huduma za kiroho kisa tu kachokozwa kisiasa na yeye kajibu kwa kutoa siri za familia ya Slaa.

Angekuwa daktari angeweza kufutiwa cheti na kudaiwa fidia.

Lakini tukumbuke ni Gwajima huyu huyu aliyeshutumiwa kuvuruga ndoa ya Mbasha badala ya kutatua mgogoro wa familia hiyo.

Hii ni trend ya Gwajima anayejiita Bishop ambayo inatakiwa kuangaliwa kwa jicho la Tahadhari hasa hasa na waumini wake wanaompelekea siri za ndani.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANI!!

Tulia sindano itolewe,dawa iingie uzuri.ulipenda alichofanya Padri Mihogo? Hovyoo.
 
Mkuki kwa nguruwe. ....aliyeanza kumchafua mwenzake nani?

kiongozi wa dini sio wa kulipiza kisasi...gwajima wala hafai kuwa kiongozi wa dini... yupo kimaslahi zaidi...
nilidhani alivyomtukana Pengo alipitiwa tu kumbe sasa ndio tabia yake...
watu wake lazima wawe macho kuingozwa na kiongozi kama huyu
 
Gwajima mimi ni mmoja kati ya wafuasi wako lakini kwa hili sikupendezewa nalo la kuanza kutoa siri zetu waumini kwa tuhuma za kisiasa.
 
Madhehebu ya kikristo Sasa yamefika pabaya sana Sasa ni biashara kabisa!

Gwajima angekuwa Ansar Sunnah kesho kichwa chake kingetenganishwa maana amekubuhu Kwenye ulaghai ulio wazi wazi
 
Ni kweli Josephine kadhalilika,,,haya yamesababishwa na Slaa kuropoka utafikiri uchaguz ndo maisha yake,,,aliropoka sana...ona sasa familia inadhalilika,,,Acha Gwajima ampige...Slaa kachuja kwa spid ya ajabu.
 
Lakini sis watanzania niwaajabu sana sana aliongea dr watu wakase aje ajibu kajib watu nimtu waajabu. Jamani watanzania sisi tumeumbwaje. Angekaa kimya wangesa aliyokuwa anazushiwa nikweli. Mim binafs nadhani pale kaenda kama gwajima kujibu tuhuma zake juu ya aliyosema dr. Sio kama pastor.
 
Ni muda mrefu jamii yetu imekuwa ikiwaheshimu na kuwaamini viongozi wa dini katika masuala mbalimbali ya kiroho na ustawi wa familia.

Ni jambo la kawaida sana kwa waumini wa dini zote kupeleka matatizo yao mbalimbali ya kifamilia kwa viongozi wa dini.

Ni dhahiri kwamba wengi wetu hupeleka masuala mbalimbali hata yale ya unyumba na siri nzito nzito za chumbani na familia kwa ujumla kwa kuwa tuna imani viongozi wa dini wana hulka ya kutunza siri na kusaidia kutatua matatizo yetu ya kiroho au kifamilia.

Hii ni tofauti kwa Gwajima ambaye ni mtomvu wa heshima ya kiongozi wa dini kwa kueleza siri za familia aliyoipa huduma za kiroho kisa tu kachokozwa kisiasa na yeye kajibu kwa kutoa siri za familia ya Slaa.

Angekuwa daktari angeweza kufutiwa cheti na kudaiwa fidia.

Lakini tukumbuke ni Gwajima huyu huyu aliyeshutumiwa kuvuruga ndoa ya Mbasha badala ya kutatua mgogoro wa familia hiyo.

Hii ni trend ya Gwajima anayejiita Bishop ambayo inatakiwa kuangaliwa kwa jicho la Tahadhari hasa hasa na waumini wake wanaompelekea siri za ndani.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANI!!

Lowassa anamtumia Gwajima kutengeneza kiti cha enzi cha shetani hapa Tanzania kwa unabii wa uongo.............
 
huyo gwajima ninamashaka naye kama kwel ni mtanzania.sifa ya watanzania ni ukarimu.lakin yy kavunja ndoa za watu,kagombana na viongoz wa din na sasa anachonganisha kwenye siasa. huyu jamaa tumwogope kama ukoma.huo uaskofu atakuwa kajipa mwenyewe maana hana sifa ya kuwa bishop.[/Q .kuvunja ndoa Wewe utakuwa ujaolewa au ujaowa.subiri ukifika wakati kuwa tayari kupigiwa au kupigwa ..nje ukifurahia
 
Yeye alipoanza kumchafua hamkuona shida sasa tulieni nayeye avuliwe nguo aone kama ni raha.
 
Back
Top Bottom