Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,284
- 10,665
Naisubiri picha ya tapeli mpaka Leo haijaja
Nadhani bidada alitunga tu hii habari haina ukweli wowote kama ina ukweli basi dada naye kuna sehemu alimpunja jamaa yaani aliyeuza cheni kauza cheni bandia aliyenunua cheni katoa hela bandia.
nina wasiwasi maana mdau kagoma kabisa kuleta id au picha ila kaleta habari tupu
Nadhani bidada alitunga tu hii habari haina ukweli wowote kama ina ukweli basi dada naye kuna sehemu alimpunja jamaa yaani aliyeuza cheni kauza cheni bandia aliyenunua cheni katoa hela bandia.
nina wasiwasi maana mdau kagoma kabisa kuleta id au picha ila kaleta habari tupu