Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,596
- 5,584
Ukiona utumbo chemsha supu uunywe...Wewe punguani kweli kweli, watu wanaongelea korosho wewe unaleta utumbo.
Naona baada ya kukupa kidonge chako sasa unataka kurudi kwenye mada. Uzi huu siyo saizi yako, kabishane Simba na Yanga.
Nafahamu ni shule tu uliyosoma ilikufunza ujinga.
Korosho zitawatoa nafsi...
Shule niliyosoma mwalimu wangu ni wewe na hicho ndicho ulichonifunza na kunisifu ufaulu