ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,709
- 2,272
Jiwe si alisema hashauriwi?umeongea point sana,lkn ccm hawashauriki.pesa ya kurudia uchaguzi ingetosha kujenga viwanda had vi 4.wakiondoka yatawezekana
Keshakwambia haitaji vipost posti vyenu wala hajali, clip ipo you tube angalia. So he doesn’t give a f ..... about what you posting.Hiyo "mkinishauri" umeongezea wewe.
Asichotaka ni kupangiwa lakini ushauri anaupokea, sana tena.
Kama kawaida ya tabia yetu ilivyo. Tunapenda tu kupapasa papasa tatizo na hatutaki au hatuna uwezo wa kulitatua. Nimekupa mfano wa KCC hapo bado hutaki kuuona kwa vile ulishapofushwa na"Vyama vya ushirika ndiyo chanzo kikuu kilichotoa nchi kutoka msafirishaji wa kwanza wa mazao nje wa Afrika hadi kufikia omba omba wa kwanza", bila ya kuangalia yaliyochangia hali hiyo.Mengine yote nakubaliana na wewe lakini Ushirika kwa maana ya vyama vya ushirika siyo suluhisho. Vyama vya ushirika ndiyo chanzo kikuu kilichoitoa nchi hii kutoka msafirishaji wa kwanza wa mazao nje wa Afrika hadi kufikia omba omba wa kwanza.
Ushirika kama kampuni, Bakhresa na MO ni mfano mzuri nimeweka juu hapo. Hiyo ndiyo solution.
Kuhusu teknolojia, hilo si tatizo kubwa sana ingawa tunalo. Makampuni binafsi yana njia zao za ki intelijensia binafsi za kutatua hayo, yatapopewa fursa yataweza tu.
Bibi umemsuta mjukuu wako. Hahahaha.Una fikra zozote za utatuzi au ushauri au wewe ni kama mke mwenza, unayoyafahamu ni matatizo tu bila kuwa na ufumbuzi?
Mku ni kweli.Hayo uyasemayo ndiyo sababu kuu ya mimi kuandika waachiwe wafanya biashara wakubwa wafanye biashara hizo na si serikali. Isome vizuri post namba moja.
Mku sio zao la korosho tuu kumbuka kahawa nayo ili kuwa inaingiza fedha nyingi za kigeni lakini mwisho wake kahawa Uchagani waliing'oa na kuamua kuotesha migomba na mazao mengine ya muda mfupi ili mambo yaende lakini uchagani ya kipindi wanalima kahawa ni tofauti kimaisha kwani walingizwa kwenye umaskini.Well then, umeeleweka mkuu. Zao la korosho kama yalivyo mazao muhimu ya biashara linahitaji mjadala mpana hasa kipindi hiki ambapo serikali "imechafua" utaratibu.. mawazo ya wanazuoni kama wewe na ukiwa mdau wa korosho ni muhimu ili kusaidia nini kifanyike katika kuendeleza zao hilo na utafutaji wa masoko etc. Huenda analysis yako ingesaidia wakulima kadhaa huku mtwara..(who knows?)
Mku hizo kazi ziwepo basi ndo maana Peter Serukamba ameshamaani kuhusu Mabenk sijui huko kwingineAsiyefanya kazi na asile.
Kwani ff anatafuta mnunuzi wa korosho zilizoko ghalani?!Ya mwaka huu atanunua nani? Ni sawa una watoto wawili,mmoja kafika umri wa kuanza shule halafu unamwambia kaa nyumbani eti utunze fedha za kumpeleka mdogo shule wakati hali ya mkubwa huijui.
Wakulima wa korosho waruhisiwe wauze korosho zao kwa bei elekezi. Wanaoumia ni wakulima.
Hahaha...Noted.Wakulima wanachotaka ni kuuza korosho zao hawajali nani anaezinunua. Iwe binaadam au shetani wao wanahitaji pesa tu.
Soma post namba moja kuanzia para ya tano.Bibi bana sasa mi mbona sijagundua ushauri wala suluhisho lako??
Bibi hebu elezea vizuri tafadhali ...Je, sumu ni kitugani au tulikosea wapi na dawa ni nini ... Hizo longolongo za serekali iwakopeshe private sector sijui blaa blaaa ... Ni kituko cha sufuria ya Abunnuwas iliyo zaa sufuria nyingine ...
Uko wapi wewe? Duniani? Bakhresa si wa longolongo, ni kazi tu...Serikali haina sababu ye kuwakopesha wafanyabiashara wakubwa maana wameona fursa wamepuuza, nakumbuka kuna wakati rais alimpa ofa ya ardhi ya bure Bahresa kama atakuwa tayari kulima miwa na kufungua kiwanda cha sukari hakujibiwa mpaka leo kimya, serikali ifungue viwanda vya kubangua korosho, wanajeshi wapo wanaweza kuendesha hivyo viwanda vizuri tu badala ya kuwatumia kukusanya na kuweka maghalani.
Uko wapi wewe? Duniani? Bakhresa si wa longolongo, ni kazi tu...