samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,478
- 24,250
Hayo maisha ya kila siku, uamuzi mmoja unaweza ukaharibu lakini kuharibu ndiyo kujifunza. Hutarudia na inabidi utafute njia mbadala.
Kwa miaka 50 sasa tunaharibu, na makosa mengine yanatuchukua za ya miaka 10-20 ili kukaa sawa na kuanza upya lakini bado tunarudia day day.. Unafikiri itachukua miaka mingapi kurekebisha makosa ya awamu ya tatu na kukaa sawa..
