Tafadhali Rais Samia... Hakuna anayekuamini...

Tafadhali Rais Samia... Hakuna anayekuamini...

JK is a narcissistic leader we have ever had. Yeye ndio alikuwa msuluhishi wa migogoro na matatizo kadhaa kwenye nchi zingine, nchi yake imekumbwa na tragedy kama hii amekaa kimya anacheka cheka hovyo.

Kawaida ya narcissists ni kuonesha kupenda wa nje kuliko wa ndani kwake (performative kindness)

Shame on you Rais mstaafu pekee uliyebaki.
Conflict of interests... Huku ndani yumo katikati ya MIGOGORO... Ndani na nje ya ccm.
 
Nani kakuambia tunaongozwa ama kuamrishwa na Trump? Who Is Trump in Our County?
Kama huongozwi wala kuamrishwa na Trump, mwambie mama yako akome kupokea misaada kutoka kwa Trump tuone kama hujafa njaa huko Lumumba. Hujui sehemu kubwa ya posho unayolipwa huko Lumumba inatoka kwa wafadhili (akina Trump, et al)? Acha kujitoa ufahamu mkuu.
 
Ni vigumu kuaminika kuwa uliguswa, kuumizwa, kustushwa au kuchukizwa na matukio ya Oktoba 29, 2025. Ni vigumu kufanya watu wasadiki kuwa wewebkama Rais wa nchi yetu hujui kilichotokea au hata kufanya jitihada za kutaka kujua...

- hujajaribu kukutana na wahanga wa matukio yale...hujajaribu kujua Ni kina nani wanadai au kitafuta miili ya ndugu zao

- hujajaribu kujua au kukutana waliopoteza ndugu zao. Yaani, wale watoto/vijana waliouwa pale Mwanza hutaki kujua wazazi wao? Na yule mama na mwanae waliouawa mbele ya kamera hutaki kabisa kujua?

- umeendelea kukingia kifua vyombo vya dola na kuvipongeza jwa mauaji yale kwa kisingizio cha kutuliza "amani". Inamaanisha vyombo hivyo vilipata Baraka na vinaendelea kupata Baraka kutoka kwako. Miezi sita baadaye hujamwajibisha hata kuruta mmoja. Unataka watu waamini kilichotokea ni bahati mbaya.

- Utawala wako umeendelea kufumbia macho matukio ya utekaji na kupoteza wananchi kiasi kwamba haijulikani yapi ni uhalifu na yapi yanafanywa na vyombo vya dola. Kitendo cha Mafwele kutajwa kingekushtua...haujashtuka..IGP hajashtuka na wale wavuta bangi za madaraka bungeni hawajashtuka...

Unataka watu wengine wa nje wawajibishe nyinyi? Yaani Wamarekani, EU, SADC na wengine waumizwe na matukio kuliko mnaojiita viongozi wetu...

Bado hujafanya lolote la kutufanya tuamini kuwa umeguswa na unataka lisitokee tena...naogopa kuwa wa kwanza kusema...mtaua tena nyinyi...tena labda zaidi..harufu ya damu bado iko angani. Hamuogopi...hamna cha kuwatisha kama walivyosema wahenga...


ZA MWIZI.....
Duu... kweli Mwanakijiji karudi toka likizo...!!!!
Umesema kweli tupu, wauaji waliagizwa kufanya hivyo toka huko huko ngazi za Juu.
 
Ni vigumu kuaminika kuwa uliguswa, kuumizwa, kustushwa au kuchukizwa na matukio ya Oktoba 29, 2025. Ni vigumu kufanya watu wasadiki kuwa wewebkama Rais wa nchi yetu hujui kilichotokea au hata kufanya jitihada za kutaka kujua...

- hujajaribu kukutana na wahanga wa matukio yale...hujajaribu kujua Ni kina nani wanadai au kitafuta miili ya ndugu zao

- hujajaribu kujua au kukutana waliopoteza ndugu zao. Yaani, wale watoto/vijana waliouwa pale Mwanza hutaki kujua wazazi wao? Na yule mama na mwanae waliouawa mbele ya kamera hutaki kabisa kujua?

- umeendelea kukingia kifua vyombo vya dola na kuvipongeza jwa mauaji yale kwa kisingizio cha kutuliza "amani". Inamaanisha vyombo hivyo vilipata Baraka na vinaendelea kupata Baraka kutoka kwako. Miezi sita baadaye hujamwajibisha hata kuruta mmoja. Unataka watu waamini kilichotokea ni bahati mbaya.

- Utawala wako umeendelea kufumbia macho matukio ya utekaji na kupoteza wananchi kiasi kwamba haijulikani yapi ni uhalifu na yapi yanafanywa na vyombo vya dola. Kitendo cha Mafwele kutajwa kingekushtua...haujashtuka..IGP hajashtuka na wale wavuta bangi za madaraka bungeni hawajashtuka...

Unataka watu wengine wa nje wawajibishe nyinyi? Yaani Wamarekani, EU, SADC na wengine waumizwe na matukio kuliko mnaojiita viongozi wetu...

Bado hujafanya lolote la kutufanya tuamini kuwa umeguswa na unataka lisitokee tena...naogopa kuwa wa kwanza kusema...mtaua tena nyinyi...tena labda zaidi..harufu ya damu bado iko angani. Hamuogopi...hamna cha kuwatisha kama walivyosema wahenga...


ZA MWIZI.....
Yule shehe wa Kenya alitabiri kama ya Uchaguzi Mkuu kuwa Samia ataua tena kwa maelfu, halaf kutatokea tetemeko na mvua kubwa kunyesha na hapo ndiyo utakuwa mwisho wake; na ukiangalia ni sahihi, yupo kwenye posture ya kuua zaidi shenzy zake shetani huyu
 
Naona unajitekenya na kujichekesha Mwenyewe kama zuzu.

Unafikiri kwanini Rais wetu ameunda tume?

Unafikiri lengo la kuunda tume ni nini?

Unataka afanye maamuzi ya kukurupuka ili baadaye mje msema alikurupuka?

Rais wetu ni Makini na anataka ukweli wote ufahamike pasipo mtu yeyote yule kuonewa. Ndio Maana ameunda tume ili ije na majibu na majawabu yasiyo acha shaka.

Ndio maana watanzania wameendelea kuwa watulivu wenye subira na imani kubwa sana kwa Rais wetu Mpendwa
Hiyo tume ya jinai aliounda inaenda kumchunguza nani ikiwa Mama mwenyewe anaipongeza jeshi la polisi kwa kazi waliofanya ya kuua raia
 
Ni vigumu kuaminika kuwa uliguswa, kuumizwa, kustushwa au kuchukizwa na matukio ya Oktoba 29, 2025. Ni vigumu kufanya watu wasadiki kuwa wewebkama Rais wa nchi yetu hujui kilichotokea au hata kufanya jitihada za kutaka kujua...

-

Bado hujafanya lolote la kutufanya tuamini kuwa umeguswa na unataka lisitokee tena...naogopa kuwa wa kwanza kusema...mtaua tena nyinyi...tena labda zaidi..harufu ya damu bado iko angani. Hamuogopi...hamna cha kuwatisha kama walivyosema wahenga...


ZA MWIZI.....


Anayemwamini ni huyo aliyemweka , Godfather Kikwete labda na wale waliokuwa wakipiga vigelegele na kukata viuno pale alipoteuliwa kugombea uraisi wa Tanganyika iliyopewa jina na Laanatulahi Nyerere kuwa Tanzania
 
Naona unajitekenya na kujichekesha Mwenyewe kama zuzu.

Unafikiri kwanini Rais wetu ameunda tume?

Unafikiri lengo la kuunda tume ni nini?

Unataka afanye maamuzi ya kukurupuka ili baadaye mje msema alikurupuka?

Rais wetu ni Makini na anataka ukweli wote ufahamike pasipo mtu yeyote yule kuonewa. Ndio Maana ameunda tume ili ije na majibu na majawabu yasiyo acha shaka.

Ndio maana watanzania wameendelea kuwa watulivu wenye subira na imani kubwa sana kwa Rais wetu Mpendwa
Ukweli upi wa kuunda tume wakati majibu yote alishayatoa hadharani? Umakini gani unaozungumzia wakati malalamiko na vilio vya watanzania viko mitaani juu ya utekaji? Ukweli gani unautaka wakati vyombo vya usalama viliua watu hadharani kweupe? Kuna mambo hayahitaji kuwa mjinga wakati ukweli u peupe kabisa.

Rais ni mponyaji mkuu, wakati tume zake zinaendelea kula posho za vikao amechukua hatua gani za kuwafikia watu wa chini ambao ndugu, jamaa na marafiki wameuawa? Na wameuawa ili yeye aendelee kutawala, maana yake mtawala ni wa wananchi na sio kikundi, vilio vya wananchi ni kazi yake kuvisikiliza, amefanya nini mpaka sasa kuliponya taifa.?
 
Back
Top Bottom