Tabia za wanawake kuchukiana bila sababu.

Tabia za wanawake kuchukiana bila sababu.

Umenena vyema Mke mwema, ebu nunua kuku wa kienyeji ss hv hapo ili umuandae nije tujipongeze kwa kulelewa ktk maadili mema na Wazazi wetu Mama[emoji119][emoji1][emoji106]
Ulishawahi jiuliza kwa nini unakutana na mtoto halafu hakusalimii?! Na mwingine anakusalimia?! Sio kwamba wazazi hawajawafundisha wamefundishwa ila mtoto hatilii maanani na mzazi hakazii hilo hata akiliona, ila mzazi mwingine anakazia mtoto anarekebika!

Utapishana na mtoto hakusalimii na wewe mtu mzima wala hujali, usitegemee huyo atakuja kumkuta mzee mwenye mzigo amsaidie! Tabia na malezi!

Ulivyo lelewa wewe ni tofauti kabisaaa na mie!


Hiyo pp utaizoea tuu wala Usijali, na kukununia siwezi kabisaaa jamanii! Nitaishije humu JF eti!
 
Sio kweli mara zote, Mfano mwepesi ni dada mjamzito akipanda daladala ambayo imejaa.. Asilimia kubwa ya watakaokuwa tayari kumpisha kwa siti huwa ni wanaume, na wala sio kwamba wanafanya hivyo kwa nia yoyote ile ya faida
Upo sahihi mkuu

Kwenye rare cases kama hiyo , men huwa generous for real.
 
Kati ya Zawadi aliyotupa Mungu ni kuhakisha nyie wanawake hampendani kabisa hata mngekuwaje kamwe hamuwezi pendana.
Wanawake huwa mna akili sana lakini hapo kwenye kupendana na kutokubaliana ndipo tunapo wapigia kabisa.......
Sisi wanaume tukiona wanawake mnakuwa strong sana tunajua dwa ni wanawake wenzenu maana mnajua vizuri jinsi ya kufitiniana ,kurogana na kuchukiana na kunafikiana....
Yani ninyi wanawake huwa mnachekeana usoni tuuu lakini moyoni hamko sawa....

Ukiona wanawake wanapatana ujue kuna kipindi wanapitia kinacho fanana hivyo wanafarijiana ...kwa hiyo baada ya muda wanarudi kwenye nature yao ya kutopendana na kuchukiana...

Kwa hiyo siku mkipata dawa ya hili tatizo lenu basi wanaume tumekwisha
Jamani mi mbavu zangu[emoji2960]
 
Uko sahihi kabisa lkn jaribu hata kuangalia miongoni mwa mahusiano ya kikazi, biashara utagundua 7bu kubwa ni uwepo wa 50 kwa 50 kutakikana kwa haki sawa.

Picha halisi inaonesha ni lazima m1 awe juu na mwingine awe chini ili pawepo na Mtawala/kiongozi na atoaye ushauri, asikilizaye au kutekeleza kazi kufikia malengo husika.

So nime-generalize 50 kwa 50 ni jipu kubwa kiuhalisia na popote ktk maisha wala siyo ktk ndoa pekee.
Ujue tunafanya tathmini ya maisha tusiyoyaishi,, ya huko ulaya tunayasoma tu lakini kiuhalisia hatujui kama wamefanikiwa au wamefeli kuhusu hiyo 50 kwa 50

By nature wanawake hatupendani iwe mwafrika au mzungu na chuki hii huonekana sana akiwepo mwanaume katikati
 
Nani kajisema ni malaika!!!

Karibia Wote tumekubali kuwa hatupendani,

Hii ishu iko naturally hata kuielezea ntajaza gazeti tu

Ukiwa honest kwa rafiki yako yeye hatakuwa honest kwako, wanawake wengi wameangushwa na wanawake wenzao hiyo ni somo tosha kwetu sie wengine,,
Si nashangaa uzi umejaa malaika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wote wana roho nzuri ati
 
Dawa haipo nyie relax tu
Kati ya Zawadi aliyotupa Mungu ni kuhakisha nyie wanawake hampendani kabisa hata mngekuwaje kamwe hamuwezi pendana.
Wanawake huwa mna akili sana lakini hapo kwenye kupendana na kutokubaliana ndipo tunapo wapigia kabisa.......
Sisi wanaume tukiona wanawake mnakuwa strong sana tunajua dwa ni wanawake wenzenu maana mnajua vizuri jinsi ya kufitiniana ,kurogana na kuchukiana na kunafikiana....
Yani ninyi wanawake huwa mnachekeana usoni tuuu lakini moyoni hamko sawa....

Ukiona wanawake wanapatana ujue kuna kipindi wanapitia kinacho fanana hivyo wanafarijiana ...kwa hiyo baada ya muda wanarudi kwenye nature yao ya kutopendana na kuchukiana...

Kwa hiyo siku mkipata dawa ya hili tatizo lenu basi wanaume tumekwisha
 
Back
Top Bottom