Tabia za wanawake kuchukiana bila sababu.

Tabia za wanawake kuchukiana bila sababu.

Kwa wanawake ukaribu uliopitiliza ndio chanzo cha kuanza kusemana na kuharibiana kwa baadhi ya mambo

Ni heri kuwa na umbali wa salamu za hapa na pale tu
Sawa. Kupanga ni kuchagua, mimi katika maisha yangu huwa sijiwekei mipaka, trust me kuna marafiki wa kike wapo so cool
 
Kwa wanawake ukaribu uliopitiliza ndio chanzo cha kuanza kusemana na kuharibiana kwa baadhi ya mambo

Ni heri kuwa na umbali wa salamu za hapa na pale tu
Yes wakikujua undani wa mambo yako ndipo chuki na wivu huanza.
Na ukijiweka mbali ikawa salamu za hapa na pale napo unageuka gumzo,Sasa sielewi ni kuwa wanawake tuna akil za kisecondari za mabinti za kufatana hadi chumbani,kuvaliana nguo,kushare mabwana,kukuwadiana?
Kwanini hatutaki kukubal kukuwa na kuchukua majukumu ya family then kupunguza unnecessary kujuana.Na kuheshimu hilo pindi mtu afanyavyo hivyo,yaani kuheshimu mipaka na private life ya mtu.
 
Back
Top Bottom