Tabia za wanawake kuchukiana bila sababu.

Tabia za wanawake kuchukiana bila sababu.

Tulilaaniwa tokea pale eden maana tukipendana wa kupata tabu ni nyie wanaume kwahiyo heri tubakie hivi hivi tuwashindanie ndipo mtatutawala
Hiyo kitu ni Africa, Wazungu washajitoa kwenye utawala huo wa kimabavu.

Napenda kuwatawala kitandani tu.

Hivi 50/50 ipo bhado hai?
 
Umeona ee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeonaeee. Wazaliwage tu kwa kweli. 😀😀😀
😀😀😀 Itakuwa ile sio tafsiri ya kupendana labda. Hahahaaaaa.


Tuendeleage tu hivi hivi kwa kweli tupate kuenda Peponi. Teh teh
 
Mimi nimeona hiyo tano tu!
Mekumiss pia!

Ila hilo la kupishana siti ni tabia ya mtu na malezi! Angeweza akawa mkaka hapo na asimpishe mbona tunawaona sana tu!
Hahaaa...[emoji3] asante pia kwa kunimiss maana hiyo ni bahati sana kwa Me, lkn hayo malezi si ndiyo nasi tumelelewa tena na wazazi wa TZ kama hao wengine?

Nadhani ni kujitoa tu akili lkn si kama huwa hawajui wanachopaswa kufanya.

Ile pp yako ya awali ilikuwa nzuri sana kama vile Mtu aliyetoka kubatizwa na kung'aa utukufu 7bu ya weupe wa vazi.

Lkn hii pp yako ya ss utadhani kama vile unafukuzia umakamu wa Freemason(samahani) lkn ni utani tu Mama la Mama... [emoji112][emoji28]
 
50 kwa 50 sijui imefikia wapi sifatilii maana najua ni kitu kisichowezekana
Na kule kunakowezekana/nchi za magharibi/Ulaya na USA kwa tathmini tu ya haraka ni zaidi ya 45%-67% kila mwaka huongoza kwa ndoa kuvunjika duniani hadi wameshafikia hatua za kufunga ndoa za mikataba tokana na hayo matokeo.

50 kw 50 huathiri popote pale ktk maisha 7bu mafahali wawili hawakai zizi moja.
 
Yeah ni kweli, wanawake tuna ile mentality ya kupenda kubebwa na kuhurumiwa, na kubembelezwa, tunaona tunastahili special treatment sasa tukikutana wenyewe kwa wenyewe kila mmoja anahisi ana haki ya kupata hivyo vitu kutoka kwa mwenzake matokeo yake tunajikuta tunavimbiana. Mfano mdogo ni mimi siku za nyuma ilikuwa ninapoenda kazini lazima nipite pale stendi ya mkoa kwa hiyo nilikuwa nakutana sana na adha ya wapiga debe. Nilichokuwa nafanya siongei na mtu mimi ni kuangalia mbele tu hata nikivutwa mkono najitoa kimya kimya. Nilizoea hivyo yaani ila siku moja nikakutana na mpiga debe wa kike kama kawaida yangu nikapota kama upepo...wacha abwatuke, sikumsikia maneno yake ila nilisikia tu maneno 'wanawake sisi tunafanyiana roho mbaya'....yaani mimi wapiga depe wote nawapita kimya ila yeye kwa vile mwanamke mwenzangu nilitakiwa nisimame, nimsalimie kwa tabasamu pana nimwambie 'samahani mpenzi leo sisafiri ila wiki ijayo naenda Moro nitakutafuta'. Upuuzi huu
Lakini wao wanaliita swala la wanawake kwa wanawake!

Sometimes tunapandikiza chuki ambazo hazipo!
 
Hahaaa...[emoji3] asante pia kwa kunimiss maana hiyo ni bahati sana kwa Me, lkn hayo malezi si ndiyo nasi tumelelewa tena na wazazi wa TZ kama hao wengine?

Nadhani ni kujitoa tu akili lkn si kama huwa hawajui wanachopaswa kufanya.

Ile pp yako ya awali ilikuwa nzuri sana kama vile Mtu aliyetoka kubatizwa na kung'aa utukufu 7bu ya weupe wa vazi.

Lkn hii pp yako ya ss utadhani kama vile unafukuzia umakamu wa Freemason(samahani) lkn ni utani tu Mama la Mama... [emoji112][emoji28]
Ulishawahi jiuliza kwa nini unakutana na mtoto halafu hakusalimii?! Na mwingine anakusalimia?! Sio kwamba wazazi hawajawafundisha wamefundishwa ila mtoto hatilii maanani na mzazi hakazii hilo hata akiliona, ila mzazi mwingine anakazia mtoto anarekebika!

Utapishana na mtoto hakusalimii na wewe mtu mzima wala hujali, usitegemee huyo atakuja kumkuta mzee mwenye mzigo amsaidie! Tabia na malezi!

Ulivyo lelewa wewe ni tofauti kabisaaa na mie!


Hiyo pp utaizoea tuu wala Usijali, na kukununia siwezi kabisaaa jamanii! Nitaishije humu JF eti!
 
Akifufuka tu aanze na mie,tiba ya hali ya juu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ewaaaaa. Akitoka hapo aje kwangu. Teh
 
Na kule kunakowezekana/nchi za magharibi/Ulaya na USA kwa tathmini tu ya haraka ni zaidi ya 45%-67% kila mwaka huongoza kwa ndoa kuvunjika duniani hadi wameshafikia hatua za kufunga ndoa za mikataba tokana na hayo matokeo.

50 kw 50 huathiri popote pale ktk maisha 7bu mafahali wawili hawakai zizi moja.
Ujue tunafanya tathmini ya maisha tusiyoyaishi,, ya huko ulaya tunayasoma tu lakini kiuhalisia hatujui kama wamefanikiwa au wamefeli kuhusu hiyo 50 kwa 50

By nature wanawake hatupendani iwe mwafrika au mzungu na chuki hii huonekana sana akiwepo mwanaume katikati
 
Yeah ni kweli, wanawake tuna ile mentality ya kupenda kubebwa na kuhurumiwa, na kubembelezwa, tunaona tunastahili special treatment sasa tukikutana wenyewe kwa wenyewe kila mmoja anahisi ana haki ya kupata hivyo vitu kutoka kwa mwenzake matokeo yake tunajikuta tunavimbiana. Mfano mdogo ni mimi siku za nyuma ilikuwa ninapoenda kazini lazima nipite pale stendi ya mkoa kwa hiyo nilikuwa nakutana sana na adha ya wapiga debe. Nilichokuwa nafanya siongei na mtu mimi ni kuangalia mbele tu hata nikivutwa mkono najitoa kimya kimya. Nilizoea hivyo yaani ila siku moja nikakutana na mpiga debe wa kike kama kawaida yangu nikapota kama upepo...wacha abwatuke, sikumsikia maneno yake ila nilisikia tu maneno 'wanawake sisi tunafanyiana roho mbaya'....yaani mimi wapiga depe wote nawapita kimya ila yeye kwa vile mwanamke mwenzangu nilitakiwa nisimame, nimsalimie kwa tabasamu pana nimwambie 'samahani mpenzi leo sisafiri ila wiki ijayo naenda Moro nitakutafuta'. Upuuzi huu
Hahaha hahaha hahaha
Nimejikuta nacheka tuu jamani!

Ila maisha yanaenda dadake!
 
Back
Top Bottom