Tabia za Kitanzania zinazonikera...

Tabia za Kitanzania zinazonikera...

Kuna hii sasa

Mmekaa kwenye foleni say unachat na wana kupitisha time kuna boya katoa mimacho kwenye simu yako anasoma kila kitu,yaaani mpaka ukikosea kuandika NYUMBA anatamani akuambie sio numba ni nyumba khaaaaaaaaaaaa!!!!!!

Dawa ni kuandika; NINAYE HAPA KAKAA UPANDE WANGU WA KULIA/ KUSHOTO NA NTAMFUATILIA NIJUE ANAPOKAA ILI USIKU TUMALIZE ILE ISHU

hahahaaa! JF ni liwazo kubwa, mie kuepuka Mi stress iyo mitabia mibovu nimeigeuza Fursa ya kuwa kichekesho ili niongeze Afya ya Fahamu!
 
kujichokonoa meno na toothpick baada ya msosi tena mbali kabisa na restraunt/canteen/cafeteria huku ukiwa na wenzio mnapiga stroty kidogo baada ya masosi, basi mtu unakuta anaachama hadi mate yanaruka,inakera sana
 
kujichokonoa meno na toothpick baada ya msosi tena mbali kabisa na restraunt/canteen/cafeteria huku ukiwa na wenzio mnapiga stroty kidogo baada ya masosi, basi mtu unakuta anaachama hadi mate yanaruka,inakera sana

We Marrykate kupiga "stroty" ndiyo kufanya nini?
 
shosti unaemwamini, unamsimlia matatizo yako na yeye tena anaenda kumsimlia boyfriend wke aghrrrrrrrrrrr, basi inakuwa kama umetangazia umma
 
  1. wanaochokonoa pua haswa kwenye dala dala kisha wanapikicha uchafu wanatoa kwenye pua wala hawajali uchafu huo kama unakurukia...
  2. wanaotema mate hovyo ukitaka kuona pita asubuhi mitaa yote ya posta, kariakoo (Dar) yaani ni makohozi matupu sijui kama TB zitakwisha.
  3. Wanaopenda kudandia stori ama maongezi mnapokuwa kwenye foleni yoyote mathalan hospital etc
 
Wambea wa JF nao wanakera sana.

Unakuta jitu halikujui lakini kwa kujifanya linakujua ni bingwa. Kila mtu linamwambia 'aah yule Ngabu mi namjua sana yule'

Umenijulia wapi wewe mburula?

Halafu linaeneza umbea wake eti limekutana na wewe sehemu fulani wakati hata jinsi ufananavyo halijui.

Sasa mmekutania wapi kama mtu hata humjui zaidi ya kumsoma tu hapa JF?

Mazafacka hunijui sikujui, acha kujifanya unanijua. Kunijua siyo ujiko.

Au we ulidhani mashori watakushobokea ukijifanya unanijua?

hahahahahahaha! NN umeua mbaya, kwamba namjua sana yule, toka maskuli yupo vilevile!
 
hahahahahahaha! NN umeua mbaya, kwamba namjua sana yule, toka maskuli yupo vilevile!

Yup...halafu sasa hata kukutana na wewe hawajawahi! Hawajui unafananaje....hata hawajui unaitwa nani...wanachojua ni habari za umbea tu wanazopeana.

Wajinga kabisa.
 
Yup...halafu sasa hata kukutana na wewe hawajawahi! Hawajui unafananaje....hata hawajui unaitwa nani...wanachojua ni habari za umbea tu wanazopeana.

Wajinga kabisa.

tena wambea haswaaaaa!!!!!! twende tuwasute. lol
 
Tabia nyingine ya hovyo ni ile ya watu kutupa kondom zilizotumika sehemu za wazi kama vile barabarani/njiani. INAKERA SANA.
 
Back
Top Bottom