Tabia za Kitanzania zinazonikera...

Tabia za Kitanzania zinazonikera...

kuchokonoa chokonoa pua mbele ya watu..af akimaliza anakupa mkono huo huo msalimiane au muagane

Uwi cpendag na haka katabia pia mimi hata kama kanisani nawakwepaga hawa watu,yani ckup mkono wangu
Au anachokonôa pua af anfutia katka seat amekaa yani ni zaidi ya kgichefuchefu
 
Mkuu watu8 ni kweli hizo tabia zote na mimi zinanikera sana! Na kwa kuongezea tu baadhi ya Watanzania wavivu, mafisadi, waliokosa uzalendo, ma-infed ..., wala rushwa, wanasiasa wabovu wasiojua wajibu wao, udhaifu wa vyombo vya usalama, elimu, afya, umeme, maji, udhaifu wa serikali ktk kutatua kero za watz ni baadhi tu ya mambo ambayo yananikera.

Ingawa nimeenda nje ya mada, nivumilie kidogo, nilikuwa nashusha hasira!
 
ivi watu8 hapo kwenye iyo bodaboda mko nane? just curious.

Picha nyingine hiyo hapo best....tupo 8

399539d1316944419-no-space-dog-one-bike-eight-people-2.jpg
 
6. people who can't keep time.

mf. anakualika sherehe/miadi saa 3pm lakini mnaanza 6pm. its fking annoying bora aseme kwamba tutachelewa kuliko kunipotezea 2-3hrs doing nothing

katika tabia zinzokera hii mimi nafikiri inanikera zaidi. mtu umeacha kazi zako ili utimize promise ya muda mliopangiana, halafu yeye unakuta analeta za kuleta, anakukalisha lisaa lizima ukimsubiri, halafu akifika analeta masikhara ya oooh si unajua time zetu za kiswahili...yan huwa natamani kumtwanga vichwa vya utosi...
kama huwez ku-keep time sema mapema kuliko kupotezea wengine muda na kuwaharibia ratiba zao.
 
Kuna wale wenye tabia ya kuweka music/radio loudspeaker alafu anaingia kwenye gari ama mkusanyiko wa watu, very comfortable, sielewi huwa wana maana gani, kujulisha watu kuwa wanamiliki simu zenye memory card/radio ama hawafahamu matumizi ya hearphones.:help::help::help::bored::bored::bored:

daladala za mbagala, tandika, vingunguti, buguruni, na kwengineko kufananako na nilikokutaja
 
Nimerud kutoa ushuhuda wa tabia ya kutokujali muda jinsi inakera,nipo sehemu tuliyopanga na mshkaj tukutane saa tisa,nimefika meeting point saa tisa na dakika 2,mpaka sasa napoandika jamaa hajafika,nimeshamcall like 4 times kila saa anasema yuko njian,last time nikamwambia yuko wap nimfate,anajibu ndo natoka hapa mitaa ya home!
Karibu nilie,hivi inakuwaje unashindwa ku-keep time?je wadhan mwenzio hana kazi/shughuli nyingine inayohitaj kuwa attended?hili jambo ni sababu pia ya umaskini wetu,if u can't keep time know ur not smart and serious!
 
Hizo tabia mwenyewe czipendi,hasa hyonumber mbili jaman,yanî mtu daladala nzîma anasikika yeye ampaka anashuka ktk dalaadala umejua mambo meng kuhusu yeye
W
kwi kwi kwi umenikumbusha juzi 2 nilikaa na m2 kutoka kibaha hadi ubungo yaani hadi nilichefuka anajidai kila kituo anakifahamu na kutaka kutueleza historia ya kila kituo yaani watu wote wamenyamaza ye anaongea huyo utasema analipwa.
 
kwenye nyumba za kupanga sasa, unakuta mtu kapanga chumba kimoja 2. basi ana sub-ufer anapiga mziki kwa sauti ya juu hadi wengine mnashindwa lala. yaani taabu tupu. sijui kama tabia hii ipo nchi zingine zaidi ya Tanzania
 
Watz ni wambeya, na wanapenda sana majungu na unafiki asilimia kubwa
 
Michango ya harusi, kitchen party na send-off. Inanikera!
 
Wambea wa JF nao wanakera sana.

Unakuta jitu halikujui lakini kwa kujifanya linakujua ni bingwa. Kila mtu linamwambia 'aah yule Ngabu mi namjua sana yule'

Umenijulia wapi wewe mburula?

Halafu linaeneza umbea wake eti limekutana na wewe sehemu fulani wakati hata jinsi ufananavyo halijui.

Sasa mmekutania wapi kama mtu hata humjui zaidi ya kumsoma tu hapa JF?

Mazafacka hunijui sikujui, acha kujifanya unanijua. Kunijua siyo ujiko.

Au we ulidhani mashori watakushobokea ukijifanya unanijua?
 
Nakerwa na hali ya mtu kupenda kupewa shikamoo. Unakuta mtu almost mnalingana alafu anakumbia 'hujambo'?
 
Back
Top Bottom