mjombakaka
Member
- Apr 28, 2011
- 26
- 16
...sasa kuna baadhi ya hawa waendesha bodaboda unakuta anapaki mahala penye mkusanyiko..au karibu na nyumba ya watu huku sauti ya mchiriku,taarab,bolingo,mahubiri,n.k kaifungulia hadi mwishooo!!!!!!!halafu yeye hana hata habari anaona sawa tuuKuna wale wenye tabia ya kuweka music/radio loudspeaker alafu anaingia kwenye gari ama mkusanyiko wa watu, very comfortable, sielewi huwa wana maana gani, kujulisha watu kuwa wanamiliki simu zenye memory card/radio ama hawafahamu matumizi ya hearphones.:help::help::help::bored::bored::bored: