Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,311
- 108,350
- Thread starter
- #261
Nakumbuka wakati tupo primary kuna jamaa alikuwa na uweze wa kuwaita mfululuzo kwa majina yao wanafunzi kama 10 hv kwa kupitia vijambo, yaani daudi, asha, pendo, rose, rabeka, emma, anania, hamza, chale halafu anamalizia yuuusuuufuuuuu...!!
Si tulikuwa na jamaa mmoja, alikuwa na uwezo wa kujamba darasa la A anahama na harufu yake kwenda B na C. Halafu alikuwa mbabe usipime. Thubutu kusema amejamba, anakushika uso na kuuweka direct propotional na kijambio chake. Lazima uimbe kikwenu hapo.
Ha ha ha!!!