Tabia za Kitanzania zinazonikera...

Tabia za Kitanzania zinazonikera...

@ Sizinga kwani siku hizi watu wanajamba?nakumbuka mara ya mwisho ni Primary ndo hayo matukio hayaishi..nadhani ni diet zile zisizo na discipline

Nakumbuka wakati tupo primary kuna jamaa alikuwa na uweze wa kuwaita mfululuzo kwa majina yao wanafunzi kama 10 hv kwa kupitia vijambo, yaani daudi, asha, pendo, rose, rabeka, emma, anania, hamza, chale halafu anamalizia yuuusuuufuuuuu...!!
 
Nakumbuka wakati tupo primary kuna jamaa alikuwa na uweze wa kuwaita mfululuzo kwa majina yao wanafunzi kama 10 hv kwa kupitia vijambo, yaani daudi, asha, pendo, rose, rabeka, emma, anania, hamza, chale halafu anamalizia yuuusuuufuuuuu...!!
Hahahaah!! Jamani mna vituko ninyi.
 
Jamani yaani kwenye hili nashindwa kujikaza sometimes nakuambia ukichukia basi
But ni tabia gani mtu mzima kkukaa kuchokonoa pua na vidole?au kubeua bila hata ya kushow any excuse...?tujifunze jamani manners loh

hapo kwenye red panahusika, pilipili iko shamba ikakuwashia nini, au iweje mvua inyeshe kariakoo halafu wewe uteleze tegeta? hivi mtu usipochokonoa pua na vidole uchokonoe na nini sasa, miguu?

hakuna binadamu duniani asiye jichokonoa pua, yani hakuna na ukimuona mtu anasema yeye hajichokonoi pua jua anakutania coz hiyo ni mojawapo ya involuntary action yani inatokeaga sometime kama kupiga chafya vile.

hata kama hupendi ila jua na wewe pia ni member wa hako kamtindo.
 
Bora ya huyo anayetema, kuna wengine huwa wanakohoa lile kohozi zito, analiviringisha kimadaha mdomoni na kisha analimeza tena. Anapofanya yote hayo kama kuna stori alikuwa anapiga atasimama kwanza kwa muda.

ahaahaa! Recycling
 
Nakumbuka wakati tupo primary kuna jamaa alikuwa na uweze wa kuwaita mfululuzo kwa majina yao wanafunzi kama 10 hv kwa kupitia vijambo, yaani daudi, asha, pendo, rose, rabeka, emma, anania, hamza, chale halafu anamalizia yuuusuuufuuuuu...!!


Si tulikuwa na jamaa mmoja, alikuwa na uwezo wa kujamba darasa la A anahama na harufu yake kwenda B na C. Halafu alikuwa mbabe usipime. Thubutu kusema amejamba, anakushika uso na kuuweka direct propotional na kijambio chake. Lazima uimbe kikwenu hapo.
 
Wengine wanaweka toothpick kinywani kutwa nzima bila kutupa! Utawakuta hata kwenye usafiri wa Umma.
 
mimi namchukia mtu afanyaye ngono kila siku. maana kuna watu hawapumziki kiasi kwamba hata kazi hawataki. wenyewe ni ngono tu
 
Yani wew uko sawa na mim hadi nyumbani wananijuaga,kazi ya jutoatoa makamas af wengne km yupo kwenye daladala anafutia kwenye kiti...cpendag kwel
Na wale wanaongea kwenye daladala anaongea daladala nzma mnasikia
 
Nakumbuka wakati tupo primary kuna jamaa alikuwa na uweze wa kuwaita mfululuzo kwa majina yao wanafunzi kama 10 hv kwa kupitia vijambo, yaani daudi, asha, pendo, rose, rabeka, emma, anania, hamza, chale halafu anamalizia yuuusuuufuuuuu...!!

twahahahahahahahahaaaaah
 
wanawake kufungia madela yao [magauni makubwa kwenye chup zao ] then kila saa wana vutavuta chup zao
 
Mtu yupo kwenye daladala,halafu anaongea kwa sauti kubwa,huku mimate ikimtoka, na chembe chembe zikiluka luka!
 
aisee kuna lecture wetu pamoja na usomi wake wote akili zake kama mtoto wa primary kutwa kuchezea chezea tambi lake kubwaaa kwa madaha huku akifumba na macho kwa raha hapo ana njiti ya kibiriti sikioni anajichokonoa alafu anatoa ile njiti ule uchafu wa sikioni anaupangusa kwa mkono
 
Back
Top Bottom