Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,536
Jamani yaani kwenye hili nashindwa kujikaza sometimes nakuambia ukichukia basi
But ni tabia gani mtu mzima kkukaa kuchokonoa pua na vidole?au kubeua bila hata ya kushow any excuse...?tujifunze jamani manners loh