Tabia za Kitanzania zinazonikera...

Tabia za Kitanzania zinazonikera...

Jamani yaani kwenye hili nashindwa kujikaza sometimes nakuambia ukichukia basi
But ni tabia gani mtu mzima kkukaa kuchokonoa pua na vidole?au kubeua bila hata ya kushow any excuse...?tujifunze jamani manners loh
picking-nose.jpg


 
Mtu anatafuna chakula utafikiri ng'ombe anatafuna nyasi....
 
Jamani yaani kwenye hili nashindwa kujikaza sometimes nakuambia ukichukia basi
But ni tabia gani mtu mzima kkukaa kuchokonoa pua na vidole?au kubeua bila hata ya kushow any excuse...?tujifunze jamani manners loh

Kuna baadhi ya tabia hata malezi yana changia,mimi nakumbuka utotoni mama au baba akikuona unaweka kidole pua lazima akukalipie so ikanijenga,ili kuwa hata darasani kama nahitaji kujichokona pua lazima nitafute kificho hii imeendelea hadi saiv ukubwani
 
Jamani yaani kwenye hili nashindwa kujikaza sometimes nakuambia ukichukia basi
But ni tabia gani mtu mzima kkukaa kuchokonoa pua na vidole?au kubeua bila hata ya kushow any excuse...?tujifunze jamani manners loh
Mkubwa pua unachokonoa na nn
 
Kuna baadhi ya tabia hata malezi yana changia,mimi nakumbuka utotoni mama au baba akikuona unaweka kidole pua lazima akukalipie so ikanijenga,ili kuwa hata darasani kama nahitaji kujichokona pua lazima nitafute kificho hii imeendelea hadi saiv ukubwani
Exactly!! sisi kwetu ilikuwa ukibeua then usiseme samahani tulikuwa na tabia ya kusema hee vipi umepata mchumba wa kiarabu?maana nasikia kwa wenzetu maana yake ni shibe
 
je wale wanaotafuna chakula domo wazi? aisee huwa nakerwa mpaka basi, kuna sauti fulani ya mnya mnya mnya kama paka anavyokunywa m maziwa vile. hii siipendi kabisa. shida sasa ukute ni mtu unayemheshimu kumwabia huwezi.
 
Nakumbuka wakati tupo primary kuna jamaa alikuwa na uweze wa kuwaita mfululuzo kwa majina yao wanafunzi kama 10 hv kwa kupitia vijambo, yaani daudi, asha, pendo, rose, rabeka, emma, anania, hamza, chale halafu anamalizia yuuusuuufuuuuu...!!

Acheni hizo hahahaaaaaaa naona Kayoka we utakuwa Comedian
 
yaani mi huwa nakereka sana , mtu anachokonoa huku anatoa vitu anakuwa anatupa halafu akitoka hapo anakupa mkono kha! wajirekebishe wenye hiyo tabia.
 
yaani huwa siipendi hiyo tabia, mtu mzima anajichokonoa pua halafu anatoa magamba ya kamasi anatupa then anakupa mkono au kitu ule, badilikeni wenya tabia hiyo.
 
Mie sipendi ile unasafiri kwa Basi safari ndefu halafu Basi limejaa na siti zake ni 2×2 na uliyekaa nae anakaa siti ya dirishani halafu yeye ni bonge sana awe mwanaume ama mwanamke halafu nusu ya siti yako anakalia yeye na wewe una kaa nusu t*ko safari yote. Utajuta.
 
Kubeua, kwa waarabu hiyo ni ishara ya kuwa umekula chakula chao cha kutosha, na wakisikia umebehua basi kwao shwari.

Sasa kuchokonoa pua na masikio hayo mengine, pamoja na wao kusema kuchokonoa pua ni yote ktk kusafisha mwili, hata masikio (angalau wataalamu wanakataza)...

Waingereza ukijapamba poa kwao kuliko kucheua na kukaa kimya...

Sasa ni utamaduni, mazoea au...hi wengine hataelewi bado
 
Kubeua, kwa waarabu hiyo ni ishara ya kuwa umekula chakula chao cha kutosha, na wakisikia umebehua basi kwao shwari.

Sasa kuchokonoa pua na masikio hayo mengine, pamoja na wao kusema kuchokonoa pua ni yote ktk kusafisha mwili, hata masikio (angalau wataalamu wanakataza)...

Waingereza ukijapamba poa kwao kuliko kucheua na kukaa kimya...

Sasa ni utamaduni, mazoea au...hi wengine hataelewi bado

nilichonote mtu huyo huyo unakuta ni muarabu mara muingereza mara mswahili
 
Back
Top Bottom