Tabia za Kitanzania zinazonikera...

Tabia za Kitanzania zinazonikera...

Sipendi tabia unazungumza na mtu hajisikii raha mpaka akuguse guse bega au nuwe mnagonga mikono kila mara
 
Mie nachukia tabia ya watu wanaoharibu lugha adhimu ya kiswahili kwa makusudi.
mfano: kwenye s wanaandika x (xaxa,xema n.k)
sehemu inayotakiwa kuandikwa h na kufuatiwa na zile vowel wanaandika vowel pekee (au kinyume chake) mfano,alafu,hakili,helimu,ofu.
 
Inakera hasa kwenye daladala jitu linaongea na simu kwa sauti au limeweka laudi spika kwenye msimu wake wa kichainizi
 
Mimi nachukia kule kufanya mambo ya 6kwa6 magoli kadhaa bila kwenda kuoga, napenda kila goli unaenda kuoga yaani kila goli na usafi wake!
 
.
.
.
.
.
.
.
kuna hii ya kuwa mpo kwenye basi siti ya dirishani,halafu anayekufuatia anatema mate nje ya gari kwa style ya kimasai nntsha.........ukiujiza anakwambia hayajakupata
 
Teh teh teh. Hivi hii si ndo Acid Test? Ndo maana huwa sipendi kusalimiana kwa kushikana mikono.

Siku ile niliwaambia sipendagi kusalimiana kwa kushikana mikono mkanikimbiza but thanks mmejua sababu...mkono umetoa uchafu wa puani umeshika hayo mananihii mmh
 
Nakumbuka wakati tupo primary kuna jamaa alikuwa na uweze wa kuwaita mfululuzo kwa majina yao wanafunzi kama 10 hv kwa kupitia vijambo, yaani daudi, asha, pendo, rose, rabeka, emma, anania, hamza, chale halafu anamalizia yuuusuuufuuuuu...!!

Yaani nimecheka hadi ofisini wamenishangaa huyun anachekaje pekeyake?
 
Na kuna wale wakiwa wanaongea inabidi uwe na mwamvuli ukiwa jirani nao...
 
Na kuna ile kupiga mswaki hadi kwenye koo kama unataka kutapika then hapo wewe uko mezani wanywa chai lllloh..kuna mgeni wetu akija ndo hizo zake...tunaumiaje sebuleni..wote tunatizamana...mara bafuni anaoga unamsikia kroooo then anatema uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii utatamani usiingie muda huo huo
 
Mi sipendi vimbelembele ambao mambo wafanye wengine kwa starehe yao alafu wao wajifanye kukereka. Wewe kama mtu akichokonoa mapua yake mwenyewe we kinakuuma nini pumbav! Nyie ndo wastaarabu mbele za watu afu mkiwa peke xenu mnajitia dole mnanusa.
 
Mi sipendi vimbelembele ambao mambo wafanye wengine kwa starehe yao alafu wao wajifanye kukereka. Wewe kama mtu akichokonoa mapua yake mwenyewe we kinakuuma nini pumbav! Nyie ndo wastaarabu mbele za watu afu mkiwa peke xenu mnajitia dole mnanusa.


Nenda zako bhana!!!!!

Ndo ukajinyyeee huko maliwatoni usinawe makalio na mikono uje utunukishe mi vima yako usiambiwe kisa hujanawa kwa starehe zako!!!!!

Halafu kono hilohilo usalimie wenzako ukienda kwa mangi dukani ushike friji pale nje na wengine waje washike tena!!!!!!!

Yaaani Mphamvu upitishe hewa mlango wa nyuma kwenye daladala usiambiwe kisa starehe yako!!!!???????

Kweli kuna watu na viatu!!!!!

Back to topic!!!!!

Kuna watu humu anaquote post ndeeeefu halafu yeye ana comment; Lol au makubwa!!!!!
 
Nenda zako bhana!!!!!

Ndo ukajinyyeee huko maliwatoni usinawe makalio na mikono uje utunukishe mi vima yako usiambiwe kisa hujanawa kwa starehe zako!!!!!

Halafu kono hilohilo usalimie wenzako ukienda kwa mangi dukani ushike friji pale nje na wengine waje washike tena!!!!!!!

Yaaani mphamvu upitishe hewa mlango wa nyuma kwenye daladala usiambiwe kisa starehe yako!!!!???????

Asante maana nilikuwa nawaza cha kumjibu@OLESAIDIMU
 
Nachuki tabia ya jitu lipo kwenye dala dala, linakunywa maji au muhindi halafu linatupa chupa barabarani..
 
Tuko tofauti..unakuta mtu anatafuna karanga akimaliza anatia vidole mdomoni anaanza kujichokonoa anatoa mabaki halafu anatia tena mdomoni!

Me huwa cwapendi kama nini, wote wanao kulaga ovyo ovyo kwenye daldal hasa mahindi na karanga c uvumilie ukish ndo ule, mnatukeraaaa bhana
 
Back
Top Bottom