Tabia ya mke wangu siipendi ila hataki kuiacha

Tabia ya mke wangu siipendi ila hataki kuiacha

Kwanza tengua kauli. Kwamba mke wangu. Una undugu nae wewe? Si umemkuta mtu mzima? Leo unaanzaje kumzuia kuanika magamba yake anakotaka? Umemzuia,hasikii. Basi we ndo hutaki kuelewa. Mpaka akwambie sitaki? Hapo keshasema tayari.

2. Kama unaona noma,kuliko ulalamike si uhamie unapofikilia pako sawa hata akianika nje wapangaji wengine hawazioni? Na je,ukisema tuhame akakataa,utaenda umuache?

We ni mjinga tena msenge. Ulishaambiwa jiunge na chama cha Kataa Ndoa,ukajifanya mwamba. Aacha yakukute.

Unajua nini,kuna mjama hapo anamla. Sasa alimwambia ntakuwa naamika nje ukipita uzione ukimiss. We hujui.

Kubali matokeo sasa
 
Ahaaaaa in short wanawake aina ya mkeo ni wasafiiiiiii, yaaani sisi usafi ndo nature yetu, nimeamka saa 11 nikapiga tiz kidogo, fanya usafi ndani, nikafua nguo nilizovaa jana nahiyo ya ndani nimeziacha kambani njee nitaanua jioni.

Kwendraaaa huko una mwanamke msafi unalalamika nini sasa waulize wanaume wenzio, chupi wake zao walizo zivaa wakiwa period zilivyo rundikwa uvunguni mwa kitanda tangu wiki ilopita
Usafi uendane na kujistiri kama mwanamke kama mbadala upo utumike ili uendelee kuwa msafi na pia ujistiri na uwastiri na wengine mnatutia aibu waume zenu, yaani dogo kabarehe juzi anajua rangi ya chupi ya mke wangu izi ni dharau
 
Usafi uendane na kujistiri kama mwanamke kama mbadala upo utumike ili uendelee kuwa msafi na pia ujistiri na uwastiri na wengine mnatutia aibu waume zenu, yaani dogo kabarehe juzi anajua rangi ya chupi ya mke wangu izi ni dharau
Kwani kujua rangi ya chupi yake nini shida? Maana ya mke wako inaijua wewe? Mbunye yenyewe dogo huyo ndo anaifyekeaga vuzi. Habari hiyo unayo lakini? Ndo maananukiongea anakuonaga mjinga tuuu
 
Usafi uendane na kujistiri kama mwanamke kama mbadala upo utumike ili uendelee kuwa msafi na pia ujistiri na uwastiri na wengine mnatutia aibu waume zenu, yaani dogo kabarehe juzi anajua rangi ya chupi ya mke wangu izi ni dharau
Kwa kweli hapoo nimekuelewaa haipendezi...mke lzma ujisitiri baadhi ya vitu hasa kwenye hizo nyumba za wapangaji wengi
 
Kwa mwanamke alieolewa viungo vya ndani na nguo zake zinatakiwa zionwe na mmewe tu ndo maana kwa sisi waislam mke hata akienda gengeni ni lazima ajigubike ibaki uso na vitanga vya miguu na mikono tu.

Sasa wewe mke anatembea mitako wazi chupi nje maumbo yote marijali wanaona wakimtongoza unalaumu eti ni mmalaya huo sio uanaume ni uzwazwa

Sasa si umuelekeze mkeo
Ukiona mkeo hakusikilizi ujue kuna sehemu unafeli
 
Kwann wanawake wa jf lakini tumefanyaje sisi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Vyupi ulivyojinunulia kwa hela zako za kuhongwa,vimeanza kumuumiza kichwa yule mpangaji wa moyoni mwako. Hajui amepanga sebureni tu,anaanza kukupa mashrti kama yupo master room.
 
Mkeo yuko sahihi chupi zinatakiwa zianikwe juani zikauke vizuri. Hiyo ya kuanika ndani atapata fangasi na miwasho aanze kunuka k uje na uzi wa kunuka kisamaki.
Apige pasi zitakauka vizuri tu, sasa wakuta mmeenda kazin kaanika nje mvua ikinyesha jirani kazianua kazieka kwake eti anatusaidia na ni wa kiume si udharirishaji uo
 
Kwanza tengua kauli. Kwamba mke wangu. Una undugu nae wewe? Si umemkuta mtu mzima? Leo unaanzaje kumzuia kuanika magamba yake anakotaka? Umemzuia,hasikii. Basi we ndo hutaki kuelewa. Mpaka akwambie sitaki? Hapo keshasema tayari.

2. Kama unaona noma,kuliko ulalamike si uhamie unapofikilia pako sawa hata akianika nje wapangaji wengine hawazioni? Na je,ukisema tuhame akakataa,utaenda umuache?

We ni mjinga tena msenge. Ulishaambiwa jiunge na chama cha Kataa Ndoa,ukajifanya mwamba. Aacha yakukute.

Unajua nini,kuna mjama hapo anamla. Sasa alimwambia ntakuwa naamika nje ukipita uzione ukimiss. We hujui.

Kubali matokeo sasa
Za kuambiwa changanya na zako kabla cjakataa ndoa acha nijionee ili nipate points
 
Kama chupi za mkeo bado Zina Hali njema( hazijapauka Wala kuchanika) una wasi wasi wa Nini Sasa?
Or is it the vice versa that's making you worried all the time?
 
Sio sababu ya kuchukia. N jambo zuri kiafya chupi kuanikwa kwa jua. Kama n safi na hazijatoboka kati ama kulegea kiunoni hakuna shida
 
Habari wana jamii....

Mke wangu anapenda kuanika nguo zake za ndani nje ambapo kamba imepitia kwenye vyumba vya wapangaji wenzangu na wote ni wa kiume akidai kuwa zinatakiwa zipigwe jua kwani wataalam wanashauri hivyo.

Huwa namwambia siipendi hiyo tabia bora atafute sehemu nyingine iliyostirika zaidi kuliko kuanika michupi mikubwa kila mtu anaona ila hanielewi. Kiukweli huku tunakoendelea ntaanza kumpa kadi ya njano kuashiria nyekundu inakuja naona ananidharirisha kwa watu.
Mke mbishi ni mzigo mkubwa kwa Mume.Namna nzuri ya kuondoa ubishi wake ni kumuonesha wewe kweli ni nahodha wa nyumba.
Andaa vizuri sehemu uliyopendekeza aanike nguo za ndani(pawepo na mzunguko wa hewa).
Ikiwa ataendelea na tabia yake,tafuta mtu mzima mwenye busara amshauri.
 
Huyo dada alikuwa haoni aibu hata kwa mumewe hata kidogo, na hata ukimkuta mkao wake maungo ya ndani yanaonekana yeye wala hajali.
Sasa hapo wadau wakimgonga mume anaanza kutaka kugombana na mume mwenzie wakati limwanamke lake ndo linatangaza bidhaa binafsi mwanamke kwangu ni pambo la nyumba hata kazi c lazima sanah akikataa kujistiri ni bora akafanye yake anayotaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom