Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,784
- 60,122
Weka Upupu ataacha
Jenga nyumba Yako 😁😁Habari wana jamii....
Mke wangu anapenda kuanika nguo zake za ndani nje ambapo kamba imepitia kwenye vyumba vya wapangaji wenzangu na wote ni wa kiume akidai kuwa zinatakiwa zipigwe jua kwani wataalam wanashauri hivyo.
Huwa namwambia siipendi hiyo tabia bora atafute sehemu nyingine iliyostirika zaidi kuliko kuanika michupi mikubwa kila mtu anaona ila hanielewi. Kiukweli huku tunakoendelea ntaanza kumpa kadi ya njano kuashiria nyekundu inakuja naona ananidharirisha kwa watu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Bila picha zako za chupi uouzoanika nnje hapa JF basi hii ni chai tamu sana yenye viungo vya kila aina.
Hiyo kazi yake mume maana anamdekeza sanaMwambie akianika afunike na kanga nyepesi au mtandio
👏👏👏 👏👏👏Ahaaaaa in short wanawake aina ya mkeo ni wasafiiiiiii, yaaani sisi usafi ndo nature yetu, nimeamka saa 11 nikapiga tiz kidogo, fanya usafi ndani, nikafua nguo nilizovaa jana nahiyo ya ndani nimeziacha kambani njee nitaanua jioni.
Kwendraaaa huko una mwanamke msafi unalalamika nini sasa waulize wanaume wenzio, chupi wake zao walizo zivaa wakiwa period zilivyo rundikwa uvunguni mwa kitanda tangu wiki ilopita
KwambaSio kwamba wewe ndio mmoja wa wapangaji wa kiume, unamezea mate chupi za watu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28]
Nguo zote zianikwe nje juani.Chupi za ndani zote zinaanikwa juani na sio ndani. Mimi nafua kila siku nguo nilizozivaa leo kesho asubuhi naziacha kambani na chupi naianua jioni nikirudi.
Sijawahi anika chupi ndani.
Wewe mwanaume wacha wivu
Huwa namwambia siipendi hiyo tabia bora atafute sehemu nyingine iliyostirika zaidi kuliko kuanika michupi mikubwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Awe makini, nakumbuka zamani kabisa, kuna mwana alikuwa ana tabia za kuchukua chupi za mama mwenye nyumba anaenda kupigia nyeto..
[emoji23][emoji23]
Huo mmama mwenye nyumba wenyewe sasa ulikuwa na bonge wa mtakoooo
Halafu unahisi watu wanavyojaribu kuvuta hisia kuwa hii ndio kumbatio la tumbua la mkeo??😂😂😂
Sipati picha Joanah akikoment hapa
Wee janamke ni lipumbavu siku ukikua utajua kwa nini watu wazima nguo zao za ndani hawaaniki nje.
Ukipata akili ndio utajua kwa nini inaitwa nguo ya ndani na sio ya nje.
Wanawake wa siku hizi ni wapumbavu sana akili hamna
Huyo mbwa hafai ana lake jambo uwe makini piga chiniHabari wana jamii....
Mke wangu anapenda kuanika nguo zake za ndani nje ambapo kamba imepitia kwenye vyumba vya wapangaji wenzangu na wote ni wa kiume akidai kuwa zinatakiwa zipigwe jua kwani wataalam wanashauri hivyo.
Huwa namwambia siipendi hiyo tabia bora atafute sehemu nyingine iliyostirika zaidi kuliko kuanika michupi mikubwa kila mtu anaona ila hanielewi. Kiukweli huku tunakoendelea ntaanza kumpa kadi ya njano kuashiria nyekundu inakuja naona ananidharirisha kwa watu.
Shida sio kuanika nje bali kuanika mbele ya milango ya mabachelaMie nimeshangazwa eti mke anaenda kupewa yellow card kwa kuanika chuppppi nje
Ndoa ngumu aseee
Kwa mwanamke alieolewa viungo vya ndani na nguo zake zinatakiwa zionwe na mmewe tu ndo maana kwa sisi waislam mke hata akienda gengeni ni lazima ajigubike ibaki uso na vitanga vya miguu na mikono tu.Mie nimeshangazwa eti mke anaenda kupewa yellow card kwa kuanika chuppppi nje
Ndoa ngumu aseee