ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
Habarini,
Naombeni mnisaidie, kuhusu hii tabia ya mke wangu! Sijui kama mimi ndo nina tatizo au yeye anatatizo lakini nimekuwa nikichukizwa sana na tabia yake mbali na tabia yake hiyo lakini tunapendana sana na mke wangu.
Tukiwa nyumbani mara nyingi tunakuwa wawili, mke wangu huwa hapendi kabisa kuvaa nguo, mara nyingi anapenda kujiachia bila nguo hata akijifunga basi huishia kujifungua khanga bila ya kuwa na nguo ya ndani yoyote ile na mara nyingi hukaa vibaya kitu kinacho nifanya nione mwili wake mara nyingi akiwa hana nguo kuliko akiwa ana nguo.
Hii tabia mimi siipendi na nimejaribu kuongea nae lakini habadiriki, siipendi kwa sababu naogopa itakuja kunifanya nisiwe na hamu naye kimapenzi kupitia muonekano wake kwasababu mara nyingi na kuwa na muona bila nguo, hata akiwa anapika mara nyingi huvaa nguo ya ndani moja bila 'Bra' akijisitiri sana basi atajifunga khanga vinginevyo atabaki hivyo hivyo.
Nimejaribu kuongea nae mara kwa mara anasema hiyo tabia kakua nayo ni toka anasoma alikuwa ana tabia hiyo, kuwa akiwa peke yake au na roomates wake alikuwa anajiachia hivyo hivyo, hadi nyumbani anadai mama ake kaongea nae kuhusu hiyo tabia lakini ameshindwa kubadirika kwasababu kwao analikuwa anaishi na mdogo wake wa kike mpka baba akirudi ndo atajisitiri kidogo na ameomba nimvumilie lakini kwangu mimi naona nimechoka kumvumilia na hiyo tabia yake nisiyopendezwa nayo.
Hata mgeni akija basi atajifunga khanga na nguo ya ndani na Tshirt basi anakuwa amemaliza tena khanga nyepesi atafanya kazi zake mgeni akiondoka anarudia tena kwenye hali yake ya kutopenda kuvaa nguo tukiwa ndani na mara nyingi utamkuta na khanga kama mtu anaye taka kwenda kuoga.
Kinacho nifanya niichukuie hiyo tabia ni kuwa mimi naona nakuwa namzoea sana kumuona akiwa 'naked' au na hizo nguo nyepesi nyepesi kitu kitakacho nifanya mimi nishindwe kuvutiwa naye na kuto kuwa na hamu naye kimapenzi kitu kinachoweza kupelekea ugomvi sitaki tufike huko ndo maana huwa namwambia sipendi lakini nimeshindwa.
Nadhani mnajua ya kuwa mke akiwa anajiachia sana anapoteza mvuto na atashindwa kufanya vitu vingine vitakavyo fanya nivutiwe na yeye tukiwa ndani.Japo hii tabia akina dada wengi wanayo wakiwa ndani lakini mimi kwa mke wangu nimekuwa sipendezwi nayo japo yeye anasema amejitahidi kujizuia lakini anashindwa.
Naombeni ushauri mimi nifanyaje nibadili mtazamo wangu au kuna njia nyingine.
Naombeni mnisaidie, kuhusu hii tabia ya mke wangu! Sijui kama mimi ndo nina tatizo au yeye anatatizo lakini nimekuwa nikichukizwa sana na tabia yake mbali na tabia yake hiyo lakini tunapendana sana na mke wangu.
Tukiwa nyumbani mara nyingi tunakuwa wawili, mke wangu huwa hapendi kabisa kuvaa nguo, mara nyingi anapenda kujiachia bila nguo hata akijifunga basi huishia kujifungua khanga bila ya kuwa na nguo ya ndani yoyote ile na mara nyingi hukaa vibaya kitu kinacho nifanya nione mwili wake mara nyingi akiwa hana nguo kuliko akiwa ana nguo.
Hii tabia mimi siipendi na nimejaribu kuongea nae lakini habadiriki, siipendi kwa sababu naogopa itakuja kunifanya nisiwe na hamu naye kimapenzi kupitia muonekano wake kwasababu mara nyingi na kuwa na muona bila nguo, hata akiwa anapika mara nyingi huvaa nguo ya ndani moja bila 'Bra' akijisitiri sana basi atajifunga khanga vinginevyo atabaki hivyo hivyo.
Nimejaribu kuongea nae mara kwa mara anasema hiyo tabia kakua nayo ni toka anasoma alikuwa ana tabia hiyo, kuwa akiwa peke yake au na roomates wake alikuwa anajiachia hivyo hivyo, hadi nyumbani anadai mama ake kaongea nae kuhusu hiyo tabia lakini ameshindwa kubadirika kwasababu kwao analikuwa anaishi na mdogo wake wa kike mpka baba akirudi ndo atajisitiri kidogo na ameomba nimvumilie lakini kwangu mimi naona nimechoka kumvumilia na hiyo tabia yake nisiyopendezwa nayo.
Hata mgeni akija basi atajifunga khanga na nguo ya ndani na Tshirt basi anakuwa amemaliza tena khanga nyepesi atafanya kazi zake mgeni akiondoka anarudia tena kwenye hali yake ya kutopenda kuvaa nguo tukiwa ndani na mara nyingi utamkuta na khanga kama mtu anaye taka kwenda kuoga.
Kinacho nifanya niichukuie hiyo tabia ni kuwa mimi naona nakuwa namzoea sana kumuona akiwa 'naked' au na hizo nguo nyepesi nyepesi kitu kitakacho nifanya mimi nishindwe kuvutiwa naye na kuto kuwa na hamu naye kimapenzi kitu kinachoweza kupelekea ugomvi sitaki tufike huko ndo maana huwa namwambia sipendi lakini nimeshindwa.
Nadhani mnajua ya kuwa mke akiwa anajiachia sana anapoteza mvuto na atashindwa kufanya vitu vingine vitakavyo fanya nivutiwe na yeye tukiwa ndani.Japo hii tabia akina dada wengi wanayo wakiwa ndani lakini mimi kwa mke wangu nimekuwa sipendezwi nayo japo yeye anasema amejitahidi kujizuia lakini anashindwa.
Naombeni ushauri mimi nifanyaje nibadili mtazamo wangu au kuna njia nyingine.