Siasa zimewafanya watu kuwa mazwazwa ....Siku wwe ukifa au ukifiwa ndiyo utakua unajisemea kinafiki,"kifo ni mpango wa Mung"!!
Siasa zimewafanya watu kuwa mazwazwa ....Siku wwe ukifa au ukifiwa ndiyo utakua unajisemea kinafiki,"kifo ni mpango wa Mung"!!
Pole kwa wafiwa woteZipo Taarifa kwamba Mahita Junior amefiwa na mtoto Arusha na watazika Morogoro kesho, je Taarifa hizi Zina ukweli? Nini chanzo?
If so,poleni familia
Hayo mabaya yote unayo mtakia mtu mwema asiye kuwa na hatia yakupate Wewe na kizazi chako!Yule Judge alimalizia kusoma hukumu kwa maneno haya....
"KUNYONGWA MPAKA KUFA"
Akasimama na kuondoka mahakamani.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hata Farao wa Misri alikaza shingo na hakuamini wala kukubaliana na lolote lililomtokeaTusihusishe matatizo ya familia,hasa vifo(natural deaths) na kesi hii. Family yote inalia hasa mama mtoto. Hata Mbowe alifiwa na kakake,mama mkwe nk, huwezi kusema ni laana ya sabaya/chacha wangwe...
Inatuhusu nini sisi hiyo?mbona kifo ni jambo la kawaida sana?Zipo Taarifa kwamba Mahita Junior amefiwa na mtoto Arusha na watazika Morogoro kesho, je Taarifa hizi Zina ukweli? Nini chanzo?
If so,poleni familia
Kufa ni jambo la kawaida tu kwani yeye nani asipatwe na msiba?Inna lillah wainna ilaih rajiuun
Msiba ukiwa upo hauna siri kuubwa hivyo tuvute muda na tutapata uhakika
Mchuma majanga lazima atakula na ndugu zakeAnge kufa yeye. Si ndio hadi kizazi cha nne?? Mtu una peleka malaana nyumbani kwako kwa mambo ya hovyo kabisa.
Wacha watapetape tu hapo bado hadi watakapo anza kuokota makopoTusihusishe matatizo ya familia,hasa vifo(natural deaths) na kesi hii. Family yote inalia hasa mama mtoto. Hata Mbowe alifiwa na kakake,mama mkwe nk, huwezi kusema ni laana ya sabaya/chacha wangwe...
Dawa ya moto ni moto tuNa tuta sali usiku na mchana. Mungu wa mbinguni atajibu kabla jua halija tua. Hawawezi kuwatesa Watanzania kwa interest zao za hovyo.
Hata kama ni chungu tuta pasua laana ziwa andame mashariki na magharibi, kusini na kaskazini. Mungu wa sasa ni kijana sana. Tuna muomba akatuonekanie kwenye hii kesi ya Mbowe, kila alie weka fitna na Mungu akamuonyeshe ukuu wake na hasira zake.
Hasa kikiwa cha corona ndiyo laana inazidiKuna watu wao wanaamini kifo ni laana, wamesahau kabisa kua tumezaliwa ili tufe na haijalishi umri wala hali yako kiafya, maana unaweza Mtu kalazwa ICU lakini anapona wakati kuna Mtu mzima na afya yake anakufa!! Kila nafsi itaonja umauti!!
Kufa ni jambo la kawaida sana hivyo tulieni kiwapukutisheSiku wwe ukifa au ukifiwa ndiyo utakua unajisemea kinafiki,"kifo ni mpango wa Mung"!!
Mungu asitwishwe kazi ya kuwasamehe hawa wanyama wakaliLaana ya kutoa ushahidi wa uwongo itawatesa sana.
Mungu awasamehe!
SahihiLaana lazima iwatafune
Na hajawahi kuwa gaidi.Ndugu za Mbowe walifariki kutokana na manyanaso anayofanyiwa ndugu yao ambaye wanayajua maisha yake ya uadilifu.
Askofu Shoo: Mbowe sigaidi.
Na Mungu alimaliza kwa kusema hivi HUYU MTU ANASTAHILI KUUWAWA KWA CORONA.Yule Judge alimalizia kusoma hukumu kwa maneno haya....
"KUNYONGWA MPAKA KUFA"
Akasimama na kuondoka mahakamani.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sali mkuuu ombea nafsi yako na roho yako acha kuombea roho ya mwenzia hata Bwana Yesu alisema ilikie Nafsi yako ss ww umechanganyikiwa na gaidi kulilia nafsi yako matatzo ulio nayo tu yanakutosha kulia mbele za bwana usku kucha na laana inayokutafuna ww huioni????Na tuta sali usiku na mchana. Mungu wa mbinguni atajibu kabla jua halija tua. Hawawezi kuwatesa Watanzania kwa interest zao za hovyo.
Hata kama ni chungu tuta pasua laana ziwa andame mashariki na magharibi, kusini na kaskazini. Mungu wa sasa ni kijana sana. Tuna muomba akatuonekanie kwenye hii kesi ya Mbowe, kila alie weka fitna na Mungu akamuonyeshe ukuu wake na hasira zake.
Wanapukutika vibaya sana"Mbowe si gaidi"
Ushahidi wa Kiapo huku unasema uongo Mungu hapendi!
Utaendelea kusikilizia jinsi inavyo wamung'unya.
Kama wewe ulivyo zwazwaSiasa zimewafanya watu kuwa mazwazwa ....